Kwa hiyo huyu dogo anapimana nguvu na Mnyika?
Halafu mbona anatumia jina la Mnyika kutafutia kura?
Adui yake kwani ni Mnyika au CCM?
Mbona wapinzani wa nchi hii akili zao kama punje ya haradali?
Kulikoni?
Kutafuta kiki kwa jina LA Mnyika
Hivi dickson ndiyo wa kupambana na mnyika jamani ?"Japo tunaomboleza lakini wacha nicheke kidogo...Nimeitwa Manispaa Kinondoni, Mnyika kaniwekea pingamizi eti picha iliyoko kwenye karatasi ya kupigia kura siyo yangu.
Nimecheka mpaka nimekaa chini. Msimamizi wa uchaguzi kaniambia wamezungumza na mwanasheria wao kawajibu kuwa kwanza muda wa pingamizi umeisha so hawata shughulika nalo. Bado nacheka, eti kisa picha ya bango nimevaa miwani na picha ya karasi ya kura sijavaa miwani so wanasema sio mimi...Dah! Wacha niendelee na operations zangu. Kibamba ni yetu."
View attachment 297871
Chanzo ni mgombea ubunge wa Kibamba.
Dickson Ng'hily
Kwahiyo mnyika ndio bai bai mjengoni...?
yaan ndo baibai.
Nilikua simjui Ngilly, Na nisingefungua kama sikuona Jina la Mnyika, Nakupongeza ume achieve ulichokitaka
Mkuu Mimi nakaa katika jimbo LA kibamba ila Leo ndo najua wewe ndo mgombea.vipi mikutano unafanyia wapi au unafanyia wapi nije nikasikilize Sera.
Jana nilikuwa Kigoma mjini kule Jamaa yenu inabdi kaze buti la sivyo inakula kwake
Mnyika kashapigwa
"Japo tunaomboleza lakini wacha nicheke kidogo...Nimeitwa Manispaa Kinondoni, Mnyika kaniwekea pingamizi eti picha iliyoko kwenye karatasi ya kupigia kura siyo yangu.
Nimecheka mpaka nimekaa chini. Msimamizi wa uchaguzi kaniambia wamezungumza na mwanasheria wao kawajibu kuwa kwanza muda wa pingamizi umeisha so hawata shughulika nalo. Bado nacheka, eti kisa picha ya bango nimevaa miwani na picha ya karasi ya kura sijavaa miwani so wanasema sio mimi...Dah! Wacha niendelee na operations zangu. Kibamba ni yetu."
View attachment 297871
Chanzo ni mgombea ubunge wa Kibamba.
Dickson Ng'hily
Hawa watu wanaangaika sana! Kutoka Temeke CDM2010 leo ACT kibamba2015!!!!!!