Dotto C. Rangimoto
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 1,985
- 1,286
"Japo tunaomboleza lakini wacha nicheke kidogo...Nimeitwa Manispaa Kinondoni, Mnyika kaniwekea pingamizi eti picha iliyoko kwenye karatasi ya kupigia kura siyo yangu.
Nimecheka mpaka nimekaa chini. Msimamizi wa uchaguzi kaniambia wamezungumza na mwanasheria wao kawajibu kuwa kwanza muda wa pingamizi umeisha so hawata shughulika nalo. Bado nacheka, eti kisa picha ya bango nimevaa miwani na picha ya karasi ya kura sijavaa miwani so wanasema sio mimi...Dah! Wacha niendelee na operations zangu. Kibamba ni yetu."
Chanzo ni mgombea ubunge wa Kibamba.
Dickson Ng'hily
Nimecheka mpaka nimekaa chini. Msimamizi wa uchaguzi kaniambia wamezungumza na mwanasheria wao kawajibu kuwa kwanza muda wa pingamizi umeisha so hawata shughulika nalo. Bado nacheka, eti kisa picha ya bango nimevaa miwani na picha ya karasi ya kura sijavaa miwani so wanasema sio mimi...Dah! Wacha niendelee na operations zangu. Kibamba ni yetu."
Chanzo ni mgombea ubunge wa Kibamba.
Dickson Ng'hily