johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Katibu mkuu wa Chadema Mh John Mnyika amesema 17/3/2023 Mwenyezi Mungu alifungua Ukurasa mpya kwa Nchi Yetu lakini bado hatujapata Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi hivyo ni lazima Wananchi waungane kuvidai.
Mnyika amesema haya katika Kumbukizi la Shujaa Magufuli kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Sabato Njema!
Mnyika amesema haya katika Kumbukizi la Shujaa Magufuli kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Sabato Njema!