Nguruwe ni myama pekee anae kula kila kitu mpaka nyoka anakula na hadhuriki Nguruwe ana Bakteria kali sana anapo kua amekufa
Kama ulikua ujui basi ndio hivyo
Acha kula Nguruwe Aka Mbuzi wa kikatoliki.
Biblia:
Mambo ya Walawi 11 : 7-8 11.7 Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
Hakuna mnyama anaekosa Bactria mwilini mwake akiwa hai au amekufa, afu uyo mnyama si sumu kwamba walaji watapoteza maisha pindi watapomla, ila si mbaya wanadamu tukishauliana kutendendeana mema katika pindi cha uhai wetu.
Nguruwe ni myama pekee anae kula kila kitu mpaka nyoka anakula na hadhuriki Nguruwe ana Bakteria kali sana anapo kua amekufa
Kama ulikua ujui basi ndio hivyo
Acha kula Nguruwe