Mnyama wa taifa la Bongo

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741

PIG NOSE IS DANGEROUS .

Nguruwe ni myama pekee anae kula kila kitu mpaka nyoka anakula na hadhuriki Nguruwe ana Bakteria kali sana anapo kua amekufa
Kama ulikua ujui basi ndio hivyo
Acha kula Nguruwe Aka Mbuzi wa kikatoliki.

Biblia:
Mambo ya Walawi 11 : 7-8

11.7 Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.

8 Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu
 
Hakuna mnyama anaekosa Bactria mwilini mwake akiwa hai au amekufa, afu uyo mnyama si sumu kwamba walaji watapoteza maisha pindi watapomla, ila si mbaya wanadamu tukishauliana kutendendeana mema katika pindi cha uhai wetu.
 
Siwezi acha kula hiyo kitu, mpaka daktari anikataze
 
...dah!,umeniharibia usingizi wangu kabisa,sijui km nitaweza kufunga macho tena,dude lina sura ya kutisha!
mbona mambo yakutisha ni mengi lakini bado tunayapenda....then kuna kitu chenye sura mbaya kama PUNANI.....mbona watu wanaipenda hadi wanafia humo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…