Hivi kuna tatizo gani kwako na vijana wengine wenye kupost photoshop hapa, kuanzisha thread yenye kichwa kama; Fun Pics, just for fun etc? Badala ya kuja na thread mpya kila siku zisio na kichwa wala mguu?
Thread nyingi miongoni mwenu zina nafasi kubwa zaidi kwenye ukumbi wa jokes kuliko hapa.