Picha zipo chini ya Funzug.com then bado unashika kibendera! Jaribu kukua. Ingependeza mazagazaga ya aina hii yakawa chini ya thread moja, na sio kila siku kuja na photoshop zenu katika thread mpya!waangalie vizuri
ok thxwaangalie vizuri
mbona mkali kaka?Picha zipo chini ya Funzug.com then bado unashika kibendera! Jaribu kukua. Ingependeza mazagazaga ya aina hii yakawa chini ya thread moja, na sio kila siku kuja na photoshop zenu katika thread mpya!
Sio ukali, ila ingependeza sana kama ingefunguliwa thread moja yenye kubeba picha za aina hii mnayopenda. Ni ushauri tu!mbona mkali kaka?
Sio ukali, ila ingependeza sana kama ingefunguliwa thread moja yenye kubeba picha za aina hii mnayopenda. Ni ushauri tu!
Hivi kuna tatizo gani kwako na vijana wengine wenye kupost photoshop hapa, kuanzisha thread yenye kichwa kama; Fun Pics, just for fun etc? Badala ya kuja na thread mpya kila siku zisio na kichwa wala mguu?unajuwa watu kama nyinyi wa CCM mnakuwa wakali sana kibunango nena kangombee Ubunge kiti cha Cm huko kwenu utapata nakushauri wewe
Hivi kuna tatizo gani kwako na vijana wengine wenye kupost photoshop hapa, kuanzisha thread yenye kichwa kama; Fun Pics, just for fun etc? Badala ya kuja na thread mpya kila siku zisio na kichwa wala mguu?
Thread nyingi miongoni mwenu zina nafasi kubwa zaidi kwenye ukumbi wa jokes kuliko hapa.
Nimefahamu vema, huu ni ukumbi wa picha, picha ambazo zinalenga kutoa ujumbe muafaka kama kuelimisha na taarifa na sio picha zilizorekebisha ili kukidhi haja ya mrekibishaji. Picha za aina hiyo hazina pingamizi iwapo zitakuwepo kwenye thread moja, ambayo itakuwa na mtiririko wa aina hizo za picha.sawa kada wa CCM nimekuelewa lakini hapa ni mahali pa Pcha sio mahali pa kulaumu Mr Kibunango jaribu kumshauri anaye husika na suala hili hapa ni picha tu hatutaki picha za matusi upo Kada Kibunango?
Si kama zile zetu?wamependeza sana lakini itakuwa ni photoshop!