Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,803
- 60,165
kwaiyo ukaamua kutuonesha na sehemu za nyuma?
Katamani
kwaiyo ukaamua kutuonesha na sehemu za nyuma?
Chura wagogo humuita mitundu huwa wanamla huyo
😂😂😂😂Katamani
Wanamlaje huyo wakati huwa ana sumu??Chura wagogo humuita mitundu huwa wanamla huyo
Wanamchemsha mzimzmzima kisha wanamwaga maji kama mara 3 hivi ndipo wana mchemsha aive.Akiisha iva wanatoa nyama wana kula, ngozi inatwangwa pamoja na milenda wanaita chiwandagulo ina anikwa Juani ikikauka wana kata kadogoo wana changanya na mboga nyingine. Mkuu. Wagogo wanakula hilo JURAWanamlaje huyo wakati huwa ana sumu??
Zilizvyokuwa flat..kwaiyo ukaamua kutuonesha na sehemu za nyuma?
Mhhhh!!!,Siku nikienda kwa Wagogo Sitakula vyakula vyao,Mimi nilijua ni Wachina tu ndio wanakula vyura Kumbe hadi Wagogo duh!!!.Wanamchemsha mzimzmzima kisha wanamwaga maji kama mara 3 hivi ndipo wana mchemsha aive.Akiisha iva wanatoa nyama wana kula, ngozi inatwangwa pamoja na milenda wanaita chiwandagulo ina anikwa Juani ikikauka wana kata kadogoo wana changanya na mboga nyingine. Mkuu. Wagogo wanakula hilo JURA
Si afadhali huyo viwavi jeshi una vijua?Mhhhh!!!,Siku nikienda kwa Wagogo Sitakula vyakula vyao,Mimi nilijua ni Wachina tu ndio wanakula vyura Kumbe hadi Wagogo duh!!!.
[emoji134][emoji134][emoji134],Noma sana.Si afadhali huyo viwavi jeshi una vijua?
Jamaa wana swallow bila shida
Si mchezo[emoji134][emoji134][emoji134],Noma sana.
Hapo hujapikiwa vipanya uhuru[emoji134][emoji134][emoji134],Noma sana.
Bora panya aisee.Hapo hukapikiwa vipanya uhuru
Na konokono pori je wanchi kavu vipi hao nao?Bora panya aisee.
Sasa Kwanini nile konokono wakati kuku,samaki,mbuzi, ng'ombe na Kitimoto wapo?.Na konokono pori je wanchi kavu vipi hao nao?
Piga wembe hapoIla Mungu kaumba aisee..sasa huyu ukimgusa na sindano si ndio byebye..sasa hayo sijui ni maji au minyama..?
Uliposema bora panya ndo nikakuuliza konokono pori maana ugogoni ni bonge la nyama hiyoNa konokono pori je wanchi kavu vipi hao nao?