N ndomyana JF-Expert Member Joined Jan 24, 2012 Posts 5,724 Reaction score 2,262 Aug 8, 2012 #1 Bahati mbaya inazidi kutuandama wana msimbazi leo kwa bahati mbaya au ni mkosi wa kula rambirambi ya mafisango,. Leo tena mnyama kachinjwa bila huruma na wakenya alipokua akisherekea kile anachoita simba day kang'utwa 3-1. Pole sana mnyama
Bahati mbaya inazidi kutuandama wana msimbazi leo kwa bahati mbaya au ni mkosi wa kula rambirambi ya mafisango,. Leo tena mnyama kachinjwa bila huruma na wakenya alipokua akisherekea kile anachoita simba day kang'utwa 3-1. Pole sana mnyama
Nazjaz JF-Expert Member Joined Jan 20, 2011 Posts 7,775 Reaction score 9,202 Aug 8, 2012 #2 kiume!!!!!!
Kiduduye Member Joined Jul 25, 2012 Posts 10 Reaction score 7 Aug 8, 2012 #3 kufa ni kufa tu hakuna kufa kiume wala kike, pelekeni rambirambi ya mafisango
Anselm JF-Expert Member Joined Nov 16, 2010 Posts 1,710 Reaction score 291 Aug 8, 2012 #4 3-1 ni kufa kiume?????????
TabletFellow JF-Expert Member Joined May 17, 2011 Posts 918 Reaction score 274 Aug 8, 2012 #5 walikula pesa ya mafisango?
N ndomyana JF-Expert Member Joined Jan 24, 2012 Posts 5,724 Reaction score 2,262 Aug 8, 2012 Thread starter #6 Kafa kiume penart3 hazigawiwi skuiz, daa nakuombea upone mnyama bila we mi sina raha
chitambikwa JF-Expert Member Joined Nov 8, 2010 Posts 3,941 Reaction score 903 Aug 8, 2012 #7 tujipange japo dalili si njema