BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
MNYAA: KASI YA MWEMA POVU LA SODA
Mbunge wa Mkanyageni (CUF), Habib Mohamed Mnyaa, alisema kasi aliyoingia nayo Mwema siyo kama ilivyo hivi sasa na kuifananisha na povu la soda.
Alisema ili kutii sheria ni lazima sheria zote za kutumia mabavu zibadilishwe kwanza na baada ya hapo ndipo serikali ije na kampeni hiyo kitaifa kama vile wanavyofanya katika kupambana na gonjwa la Ukimwi.
Mbunge wa Mkanyageni (CUF), Habib Mohamed Mnyaa, alisema kasi aliyoingia nayo Mwema siyo kama ilivyo hivi sasa na kuifananisha na povu la soda.
Alisema ili kutii sheria ni lazima sheria zote za kutumia mabavu zibadilishwe kwanza na baada ya hapo ndipo serikali ije na kampeni hiyo kitaifa kama vile wanavyofanya katika kupambana na gonjwa la Ukimwi.