Mnyaa: Kasi ya mwema povu la soda

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,735
5,003
MNYAA: KASI YA MWEMA POVU LA SODA
Mbunge wa Mkanyageni (CUF), Habib Mohamed Mnyaa, alisema kasi aliyoingia nayo Mwema siyo kama ilivyo hivi sasa na kuifananisha na povu la soda.
Alisema ili kutii sheria ni lazima sheria zote za kutumia mabavu zibadilishwe kwanza na baada ya hapo ndipo serikali ije na kampeni hiyo kitaifa kama vile wanavyofanya katika kupambana na gonjwa la Ukimwi.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Anasemaje kuhusu posho za maaskari, badala ya kupewa 150000 wao wanapewa 100000.....? au hawakumuuliza.

Naibu waziri anasema zinatoka 150000, RPC anasema 100000. nani mkweli..?
 
Back
Top Bottom