Mnawezaje kuwa na Long Distance Relationships?

Mnawezaje kuwa na Long Distance Relationships?

Sina hamu na long distance relationship, imefanya nimepoteza mtu niliyekua nampenda sana, wivu na kutoaminiana ni mojawapo ya sababu. Ila mkiamua na kuwa na mipango dhabiti hakika mtadumu vizuri. Mwambie huyo rafikiyo waongee vizuri na babe wake na waaminiane.
Muaminiane na mtu ambaye kupiga simu mpaka uanze kulalamika😅!? Kuna uaminifu kweli hapo?
 
Sikuingine anakuaga mapema analala kumbe tayari mwamba kashafika kwa ajili ya kumkaza...Anajifanya kichwa kinauma kumbe jibaba anaandaliwa mbunye ale bila kero za simu zako [emoji23][emoji23][emoji23]
yaan mule mule mkuu hujakosea
 
hatr mzee mpaka hapo nilisha inua mikono juuu Hawa viumbe emagine kipind hicho chote nipobali nae Zaid ya miaka miwil me nipo dar ye Yupo mbeya nikawa najitosa mzee baba Safari haziishi kwenda kumeet nae japo kila baada ya miez miwil mitat nakaa nae Kama one week nageuza kumbe nyuma nikisha ondoka anabk muhuni mmoja anamega vzr t
Tatizo Huna hela
 
Hii mambo inaitwa LDR ni upuuzi tu hakuna cha et mawasiliano wala nn ni swala la mda tu mambo yanaenda mrama alafu kinaumana
 
Muaminiane na mtu ambaye kupiga simu mpaka uanze kulalamika😅!? Kuna uaminifu kweli hapo?
Mkiweka mipango thabiti inawezekana bana, hata nyie wanaume mnaweza kumwambia mtu upo kazini kumbe upo unakaza mbunye nyingine huko. Mimi nilikua naambiwa "niko busy kazini, ntakucheki later" wee kumbe yupo na kazi ya baby mwingine
 
Nimekua kwenye long distance r/ship since May 2022 mpaka leo, ila kuna changamoto naona itaenda kuvunja haya mahusiano kama itakosa utatuzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom