PostGE2025 Mnatupa shida kumtetea Samia huku mtaani

PostGE2025 Mnatupa shida kumtetea Samia huku mtaani

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
8,204
Reaction score
11,364
Kila mkihutubia mnasema, kazi na utu, mama ni mtu mwema, mama ana utu.

Mkimaliza tu, anapotezwa mtu. Baada ya muda yuko kituo cha polisi.

Ukifuatilia ni mkosoaji. Sasa utu ni upi? Tusaidieni basi tupunguze mahangaiko huku kitaa.
 
Kila mkihutubia mnasema, kazi na utu, mama ni mtu mwema, mama ana utu.

Mkimaliza tu, anapotezwa mtu. Baada ya muda yuko kituo cha polisi.

Ukifuatilia ni mkosoaji. Sasa utu ni upi? Tusaidieni basi tupunguze mahangaiko huku kitaa.
Ifike tu mahali waseme kazi na utumwa,ili kazihiyo ya kutetea iwe nyepesi kwenu,kwani mtakuwa na ridha ya kusema ubaya ubwela ama kama bwai mbwai tu
 
Kanishtua! hadi iphone yangu 17 pro max, 256 GB ambayo nilinunuliwa huko Dubai 4,500,000/= Kidogo ianguke ndani ya BWX 6 yangu Nyeupe 0 KM

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Nikope buku nibet sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom