Mnatengeneza mashoga wenyewe mashuleni

Mnatengeneza mashoga wenyewe mashuleni

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,109
Reaction score
36,971
Ndugu wazazi na walimu pengine amjawahi kukaa na kujua chanzo cha baadi ya watoto wetu ambao eo hii ni vijana wakiitwa mashoga..wapo waliotenguliwa na mahgl wakati wakiogeshwa ama mhboy..ila kuna hili la boarding limekuwa ni aibu sasa kila sehemu ...

mbaya zaidi kuna kazi kubwa inaendelea kwa kuwaachia watoto wa shule wakicheza mpaka sasa jioni ..unahisi watoto kama hawa wanacheza shule ya uswahilini kama mugabe unatarajia nini baadae..kwaninii mlinzi anaruhusu watoto kucheza uwanjani mpaka sasa mbaya vijana wa mtaani wakikaa pembeni kuwaangalia/.....

embu tuwe na sheria kidogo ya kuweka mipaka..

MWL MKUU WA SHULE YA MUGABE FWATILIA HILI ...MTATENGENEZA MASHOGA WENYEWE BILA KUTARAJIA WATOTO WADOGO KUTOENDA MAKWAO MPAKA SASA KUTWAFANYA WAHUNI KUWAVAMIA ...JUST ANGALIZO KUPUNGUZA MASHOGA DUNIANI..WALINZI WASIKUBALI BAADA YA SAA KUMINAMOJA KUWEPO WATOTOT UWANJANI AMA SHULENI KWA UJUMLA
 
Embu pitia tena uzi wako nahisi kuna ujumbe muhimu, sina hakika ni tatizo la uandishi au ndivyo ulivyokusudia!!!
 
kwahiyo watoto wasicheze? au unafikili wote wana magame kwenye computer kama huko masaki? vilevile wazazi wengi huchelewa kurudi nyumbani sababu ya foleni hivyo watoto hata wakiwahi nyumbani watakutana na mahouse girl / boy ambao wengine huwadhalilisha kimapenzi pia
 
mimi ni mmoja kati ya watumiaji wa uwanja huo ungesema labda matumizi ya bange ningekuelewa kwa mugabe
 
Yaaan hapo mkuu Pdidy katika kilele cha ubora wake kaeleweka vizuri kabisa...Mkuu sana Pdidy natumai mkuu wa shule ya Mugabe ujumbe huu utamfikia.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom