Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,416
- 6,578
Jamani mimi Dstv ishanishinda. Nataka nihamie Canal+ Sports maana gharama zao nafuu.
Vp ubora wa king'amuzi hiko upoje? Je game zote za EPL na UEFA zinaonyeshwa? Je ana chaneli za HD?
Kwenye lugha tutavumiliana tu hiko kifaransa.
Kwa ambao mshawahi kutumia kisimbuzi hiki njooni mtujuze mawili matatu.
Ahsanteni, heri ya mwaka mpya!
Sent using Jamii Forums mobile app
Vp ubora wa king'amuzi hiko upoje? Je game zote za EPL na UEFA zinaonyeshwa? Je ana chaneli za HD?
Kwenye lugha tutavumiliana tu hiko kifaransa.
Kwa ambao mshawahi kutumia kisimbuzi hiki njooni mtujuze mawili matatu.
Ahsanteni, heri ya mwaka mpya!
Sent using Jamii Forums mobile app