Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,357
- 40,243
Kuna siku nilikutana na mdada mmoja, ana shepu nzuri na ya kuvutia.
Mjuavyo tena, kwa wanaume halisi kuwa na hisia na watu wa namna hiyo ni kitu cha kawaida.
Basi nikajikuta, nimemtamani; katika kumuongelesha mawili matatu tukawa tumepeana namba kwa ajili ya mawasiliano.
Kesho yake ikabidi nimpeleke kiwanja, angalau tumwagilie moyo pamoja na kubadilishana abc.
Baada ya kushiba na kulewa, ikabidi tutafute eneo la kwenda kupumzika.
Sasa mle ndani, ndipo nilivyoona shepu halisi ilivyojichonga; tukaendelea kufanya yetu, ila nikishika shika huku na kule, mwili wote ni mlaini unakuwa kama unashika puto.
Ukikamatia chura, unakuwa kama umeshika mfuko wa lailoni uliojaa uji; nikawa najiuliza baada ya miaka miwili mitatu huyu atakuwaje.
Kwa nilivyoona, kuna uwezekana huko mbeleni wakapata madhara zaidi, kati ya kusinyaa na kunyauka au kupata maradhi mengine.
Nawashauri dada zangu, msiongeze shepu kwa afya ya miili yenu.
Mjuavyo tena, kwa wanaume halisi kuwa na hisia na watu wa namna hiyo ni kitu cha kawaida.
Basi nikajikuta, nimemtamani; katika kumuongelesha mawili matatu tukawa tumepeana namba kwa ajili ya mawasiliano.
Kesho yake ikabidi nimpeleke kiwanja, angalau tumwagilie moyo pamoja na kubadilishana abc.
Baada ya kushiba na kulewa, ikabidi tutafute eneo la kwenda kupumzika.
Sasa mle ndani, ndipo nilivyoona shepu halisi ilivyojichonga; tukaendelea kufanya yetu, ila nikishika shika huku na kule, mwili wote ni mlaini unakuwa kama unashika puto.
Ukikamatia chura, unakuwa kama umeshika mfuko wa lailoni uliojaa uji; nikawa najiuliza baada ya miaka miwili mitatu huyu atakuwaje.
Kwa nilivyoona, kuna uwezekana huko mbeleni wakapata madhara zaidi, kati ya kusinyaa na kunyauka au kupata maradhi mengine.
Nawashauri dada zangu, msiongeze shepu kwa afya ya miili yenu.