Mnaotengenezwa shepu, muwe mnauliza na madhara ya baadaye

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,357
40,243
Kuna siku nilikutana na mdada mmoja, ana shepu nzuri na ya kuvutia.

Mjuavyo tena, kwa wanaume halisi kuwa na hisia na watu wa namna hiyo ni kitu cha kawaida.

Basi nikajikuta, nimemtamani; katika kumuongelesha mawili matatu tukawa tumepeana namba kwa ajili ya mawasiliano.

Kesho yake ikabidi nimpeleke kiwanja, angalau tumwagilie moyo pamoja na kubadilishana abc.

Baada ya kushiba na kulewa, ikabidi tutafute eneo la kwenda kupumzika.

Sasa mle ndani, ndipo nilivyoona shepu halisi ilivyojichonga; tukaendelea kufanya yetu, ila nikishika shika huku na kule, mwili wote ni mlaini unakuwa kama unashika puto.

Ukikamatia chura, unakuwa kama umeshika mfuko wa lailoni uliojaa uji; nikawa najiuliza baada ya miaka miwili mitatu huyu atakuwaje.

Kwa nilivyoona, kuna uwezekana huko mbeleni wakapata madhara zaidi, kati ya kusinyaa na kunyauka au kupata maradhi mengine.

Nawashauri dada zangu, msiongeze shepu kwa afya ya miili yenu.
 
Kuna siku nilikutana na mdada mmoja, ana shepu nzuri na yakuvutia.

Mjuavyo tena, kwa wanaume halisi kuwa na hisia na watu wa namna hiyo ni kitu cha kawaida.

Basi nikajikuta, nimemtamani; katika kumuongelesha mawili matatu tukawa tumepeana namba kwa ajili ya mawasiliano.

Kesho yake ikabidi nimpeleke kiwanja, angalau tumwagilie moyo pamoja na kubadilishana abc.

Baada ya kushiba na kulewa, ikabidi tutafute eneo la kwenda kupumzika.

Sasa mle ndani, ndipo nilivyoona shepu halisi ilivyojichonga; tukaendelea kufanya yetu, ila nikishika shika huku na kule, mwili wote ni mlaini unakuwa kama unashika puto.

Ukikamatia chura, unakuwa kama umeshika mfuko wa lailoni uliojaa uji; nikawa najiuliza baada ya miaka miwili mitatu huyu atakuwaje.

Kwa nilivyoona, kuna uwezekana huko mbeleni wakapata madhara zaidi, kati ya kusinyaa na kunyauka au kupata maradhi mengine.​

Nawashauri dada zangu, msiongeze shepu kwa afya ya miili yenu.
Ke ni viumbe visivyojua vinachohitaji.

Vipi wale wanaoendaga kwa waganga wa kienyeji unajua wanafanyiwa vitu gani haswa?

Je wale wanaolisha Me zao nyama zilizowekwa kwenye K zaidi ya wiki nzima ilimradi tu Me wawe mazezeta (limbwata)

Ujasiri kama huu unaanzaje kuingia kimapenzi mzima mzima kwa Ke bila ya kuishi nao kwa akili

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
We Jamaa kwa umri wako50+ utakuwa unasambaza Umeme Sana ni ngumu mshua was miaka 50+ ambaye Hana Ngoma aokotoze kila uchafu!
Haya land ndio inafahamika kama sehemu ya kwanza umeme kuingia. Kujikinga ni muhimu zaidi, maisha bila afya ni kazi bure.
 
Back
Top Bottom