Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,473
- 4,007
Ukikaribia kustaaafu anzisha biashara kwa mshahara ulio nao ili yakulipwa yakiyumba basi utaendelea kuishi. soma hapa.
DuhKama uko Dsm, fukuza watoto wakajitegemee, beba mke wako mkapange chumba kimoja alafu nyumba pangisha muwe mnakula kodi.
Renyewe risemaji rimeanza kunyofolewa Minofu na shetani rikiwa hai!! Lilitaka muwe wengi.Alisema tutaishi km mashetani[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kufa kupo kwa yeyote yule Siku zako za kuishi zikiisha UNAKUFA wangapi wanakufa wakiwa makaziniUkikaribia kustaaafu anzisha biashara kwa mshahara ulio nao ili yakulipwa yakiyumba basi utaendelea kuishi. soma hapa.
View attachment 684897
Huu nao ni utumwa mbaya sana ndani ya nchi yako mwenyewe!Ukikaribia kustaaafu anzisha biashara kwa mshahara ulio nao ili yakulipwa yakiyumba basi utaendelea kuishi. soma hapa.
View attachment 684897
Sio ushauri mzuri huu.Kama uko Dsm, fukuza watoto wakajitegemee, beba mke wako mkapange chumba kimoja alafu nyumba pangisha muwe mnakula kodi.