Mnaotafuta wachumba humu

Mnaotafuta wachumba humu

mutant gene

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
876
Reaction score
326
Hivi huko munakopita hamuwaoni hao wachumba wenye sifa munazozitaka au vipofu? Shauri yenu wengine humu ni majini na wachawi wala sio watu.

Mimi ninawaambia hivyo.
 
Umejuaje kama ni Majini na Wachawi? Au ndo kujuana kwa vilemba?
 
We mzee mapenz acha ushamba wako, mapenz yanaanzia kokote, watu tunakutana na watu kwenye vyoo vya club na mapenz yanaanzia hapo sembuse jf..
 
Hivi huko munakopita hamuwaoni hao wachumba wenye sifa munazozitaka au vipofu?! Shauri yenu wengine humu ni majini na wachawi wala sio watu. mimi ninawaambia hivyo. oooh!!

Acha imani zisizo na maana,
mchumba anapatikana popote...

we kama ulishapata wako huko kwenu acha wenzako watafuteee....
 
We mzee mapenz acha ushamba wako, mapenz yanaanzia kokote, watu tunakutana na watu kwenye vyoo vya club na mapenz yanaanzia hapo sembuse jf..

weekend hii club gani utakuwa ili tukukatane tulianzishe hahahahaaa...
 
Ushasaka humu umekosa unajitia kudis wenzio wanaopoa kila siku....
badilisha mbinu
 
Kwani kuna tofauti gani kati ya mtaan, kanisani, msikitini, bar, club, barabarani na JF??
 
wewe waache watu watoe yao ya moyoni kwani ni dhambi?
 
Back
Top Bottom