Mwanzoni nilikuwa najiuliza kwanini asilimia kubwa ya Mabibi harusi huvaa gauni jeupe na si vinginevyo?katika kutaka kujua hilo;nikawauliza baadhi ya watu na majibu yao yalifanana,walisema hivi;NGUO NYEUPE HUMMANISHA KWAMBA BI HARUSI BADO NI MSAFI/HANA DOA NABADO ANAO USICHANA WAKE (BIKIRA) AMBAYO NI ZAWADI KWA BWANA".Sasa hali ilivyo siku hizi watu hufunga ndoa wakishakuwa wamechakachuana na usichana unakuwa umeondoka,tena wengine hufunga ndoa wakati tayari wakiwa na watoo au wajawazito.Je kuna maana yeyote ya kuendelea kutumia gauni jeupe kwa tafsiri hiyo hapo juu?
Mwanzoni nilikuwa najiuliza kwanini asilimia kubwa ya Mabibi harusi huvaa gauni jeupe na si vinginevyo?katika kutaka kujua hilo;nikawauliza baadhi ya watu na majibu yao yalifanana,walisema hivi;NGUO NYEUPE HUMMANISHA KWAMBA BI HARUSI BADO NI MSAFI/HANA DOA NABADO ANAO USICHANA WAKE (BIKIRA) AMBAYO NI ZAWADI KWA BWANA".Sasa hali ilivyo siku hizi watu hufunga ndoa wakishakuwa wamechakachuana na usichana unakuwa umeondoka,tena wengine hufunga ndoa wakati tayari wakiwa na watoo au wajawazito.Je kuna maana yeyote ya kuendelea kutumia gauni jeupe kwa tafsiri hiyo hapo juu?
Nimewahi kusimuliwa kuwa kuna kabila fulani kwamba wenyewe ilikuwa siku ya harusi kama kawaida bibi harusi anapiga white gauni then baada ya kufungishwa ndoa;wanandoa hutakiwa kuuthibitishia umma kuwa binti ni mweupe kweli,basi hapo binti atakabidhiwa kitambaa cheupe mkononi na kuingia faragha na mume huku nyuma ndugu,jamaa,marafiki na wageni wengine wakisubiri kwa hamu matokeo.Basi wanandoa hao hufanya mapenzi na ikitokea binti akawa bikira kweli na kutolewa siku hiyo;basi atatumia kile kitambaa cheupe kujifuta zile damu na kukionyesha kwa waty waliokuwa wakisubiria,baada ya hapo sherehe huwa kubwa sana,Wazazi hupongezwa sana kwa kumtunza mwali na muda mwinginefamilia ya bwana hutoa ng'ombe wengi sana kama shukrni kumtunza bibi.
Mi sipo kama hao nina matunzo mazuri especial nikipatiwa K safi huwa sina haja ya kwenda kuzurura huku na huko muulize nanihiiiiiii...................dah kweli hapo kwenye bold ,ila ujue nn you men i will never live to understand you at what particular time you have a lying toungue , its not that you cheat on us but its like this we give you much trust which you didn't deserve ikiwemo nanhii K mnatumega afu mnasepa ,
kama si lazima kwanini sas hawavai yenye rangi nyingine?
Huku kwetu wenye mimba wanavaa la blue,asie bikra la khaki,mcharuko red,aliyewahi kuolewa before black!
Umeniachahoi mkuu kwa kichekoHuku kwetu wenye mimba wanavaa la blue,asie bikra la khaki,mcharuko red,aliyewahi kuolewa before black!
Mi sipo kama hao nina matunzo mazuri especial nikipatiwa K safi huwa sina haja ya kwenda kuzurura huku na huko muulize nanihiiiiiii...................
unamaaanisha bikra ya heshima aka ya wachina?
Mi nilivaa NJANO!!!!
Dahh basi we inaonyesha n Yanga damu, siku ya harusi yangu nikikosa nyeusi utaniazima!