Mnaonaje ikatumiwa mbinu hii kuongeza siku za kuishi duniani

mr pipa

JF-Expert Member
Jul 26, 2021
2,329
4,852
Kabla huja jadili hiyi mada tafuta uzi huu "bwawa la the three gorges la China lapunguza kasi ya mzunguko wa dunia" nimeshindwa kuu tag hapa kama ummeusoma karibu kwenye mada👇👇👇


Kutokana na masaa kwenda kwa haraka na siku kukimbia kwa kasi hatimaye miezi na miaka, basi binadamu hujikuta umri umekwenda, na haya yote yamechagizwa na dunia kuzunguka kwa kasi hakuna asiejua mzunguko wa dunia, ndio hubeba vipindi hivyo vyote.

Nini suluhisho nadhani wanasayansi wa kidunia wafikirie mbinu za kuweza kipunguza speed ya dunia
Kama wenzetu kule uchina walivyojenga lile bwawa la THE THREE GOrges na likasababisha dunia ipunguze speed kidogo kutokana na uzito wa maji yaliyokuwamo humo ndani ya bwawa

Mi nadhani hiyo ndio itakuwa mbinu rahisi ya kuongeza siku za kuishi
Kwa sababu leo hiyi tuchukulie siku ikaenda hadi nusu mwezi au mwezi mzima ni mambo mangapi utawafanya kupitia hiyo siku moja

Maana binadamu ujanja wake wote upo kwenye muda kwa kufanya hivyo ndani ya hiyo siku moja tutaigawa katika vipengele
Na binadamu atakuwa huru pasipo kuhofia miaka inaenda hakuna nilichofanya

Uzi tayari karibuni kwenye mjadala
 
Kutokana na masaa kwenda kwa haraka na siku kukimbia kwa kasi hatimaye miezi na miaka, basi binadamu hujikuta umri umekwenda, na haya yote yamechagizwa na dunia kuzunguka kwa kasi hakuna asiejua mzunguko wa dunia, ndio hubeba vipindi hivyo vyote.

Nini suluhisho nadhani wanasayansi wa kidunia wafikirie mbinu za kuweza kipunguza speed ya dunia
Kama wenzetu kule uchina walivyojenga lile bwawa la THE THREE GOrges na likasababisha dunia ipunguze speed kidogo kutokana na uzito wa maji yaliyokuwamo humo ndani ya bwawa

Mi nadhani hiyo ndio itakuwa mbinu rahisi ya kuongeza siku za kuishi
Kwa sababu leo hiyi tuchukulie siku ikaenda hadi nusu mwezi au mwezi mzima ni mambo mangapi utawafanya kupitia hiyo siku moja

Maana binadamu ujanja wake wote upo kwenye muda kwa kufanya hivyo ndani ya hiyo siku moja tutaigawa katika vipengele
Na binadamu atakuwa huru pasipo kuhofia miaka inaenda hakuna nilichofanya

Uzi tayari karibuni kwenye mjadala
Ilipunguzaje kasi kwa kuongeza uzito wakati kila walichotumia kulijenga kimetoka hapa hapa duniani? Na maji yaliyopo source ni hapa hapa duniani
 
Ha ha. Mkuu kuna kitu kinaitwa time effect katika miili yetu hyo ndo shida .hata ukitaka lisaa limoja liwe na urefu kama wa wiki nzima hilo linawezekana kabisaa shida seli za mwili hazijui kitu kinaitwa mwez au mwaka zenyewe zinaendelea kuchoka kama kawaida.madhara ha hyo nadharia yako ni mtu anazaliwa na kuzeeka akiwa na mvi kabisa na mwili kuchoka katika umri wa miaka 12 au 20 tu anakufa....yaani ulichoonge ni sawa nakuingia chooni na kopo linalovuja ukataza kabisaaa kwa kuhofia maji kuisha kisha ndo ukajisaidia
 
Ha ha. Mkuu kuna kitu kinaitwa time effect katika miili yetu hyo ndo shida .hata ukitaka lisaa limoja liwe na urefu kama wa wiki nzima hilo linawezekana kabisaa shida seli za mwili hazijui kitu kinaitwa mwez au mwaka zenyewe zinaendelea kuchoka kama kawaida.madhara ha hyo nadharia yako ni mtu anazaliwa na kuzeeka akiwa na mvi kabisa na mwili kuchoka katika umri wa miaka 12 au 20 tu anakufa....yaani ulichoonge ni sawa nakuingia chooni na kopo linalovuja ukataza kabisaaa kwa kuhofia maji kuisha kisha ndo ukajisaidia
Kabisa mkuu.

Leo internationally wakiamua kwamba dakika moja ni kama dakika 60 za zamani.

So itakuwa siku ina kama dakika 24 tu badala ya masaa 24.

Na hapo tukiamua kwamba mpaka yatimie masaa 24 ndio tuseme ni siku moja maana yake itakuwa siku kumbi za zamani ndio siku moja ya masaa mapya.

So siku moja ya sasa itakuwa ni sawa na siku 10 za zamani.
 
Kutokana na masaa kwenda kwa haraka na siku kukimbia kwa kasi hatimaye miezi na miaka, basi binadamu hujikuta umri umekwenda, na haya yote yamechagizwa na dunia kuzunguka kwa kasi hakuna asiejua mzunguko wa dunia, ndio hubeba vipindi hivyo vyote.

Nini suluhisho nadhani wanasayansi wa kidunia wafikirie mbinu za kuweza kipunguza speed ya dunia
Kama wenzetu kule uchina walivyojenga lile bwawa la THE THREE GOrges na likasababisha dunia ipunguze speed kidogo kutokana na uzito wa maji yaliyokuwamo humo ndani ya bwawa

Mi nadhani hiyo ndio itakuwa mbinu rahisi ya kuongeza siku za kuishi
Kwa sababu leo hiyi tuchukulie siku ikaenda hadi nusu mwezi au mwezi mzima ni mambo mangapi utawafanya kupitia hiyo siku moja

Maana binadamu ujanja wake wote upo kwenye muda kwa kufanya hivyo ndani ya hiyo siku moja tutaigawa katika vipengele
Na binadamu atakuwa huru pasipo kuhofia miaka inaenda hakuna nilichofanya

Uzi tayari karibuni kwenye mjadala
Miili yetu ina saa “clock” yake na majira na mzunguko wake kama ilivyo dunia. Siku/muda wa kuishi binadamu hautokani na urefu wa miaka inayohesabiwa kwa mzunguko wa dunia. Unapaswa kuelewa masuala ya absolute na relative time hapa.
 
Ilipunguzaje kasi kwa kuongeza uzito wakati kila walichotumia kulijenga kimetoka hapa hapa duniani? Na maji yaliyopo source ni hapa hapa duniani
eeh bwana ee yap kwa hiyo mkuu mfano upo kwenye gari iliyobeba mawe na yale mawe ya kazidi mbële ukaamua kuyapanga nyuma kabisa ya bord hivi ni matokeo gani utayapata kipindi unaendesha hiyo gari?
 
Kutokana na masaa kwenda kwa haraka na siku kukimbia kwa kasi hatimaye miezi na miaka, basi binadamu hujikuta umri umekwenda, na haya yote yamechagizwa na dunia kuzunguka kwa kasi hakuna asiejua mzunguko wa dunia, ndio hubeba vipindi hivyo vyote.

Nini suluhisho nadhani wanasayansi wa kidunia wafikirie mbinu za kuweza kipunguza speed ya dunia
Kama wenzetu kule uchina walivyojenga lile bwawa la THE THREE GOrges na likasababisha dunia ipunguze speed kidogo kutokana na uzito wa maji yaliyokuwamo humo ndani ya bwawa

Mi nadhani hiyo ndio itakuwa mbinu rahisi ya kuongeza siku za kuishi
Kwa sababu leo hiyi tuchukulie siku ikaenda hadi nusu mwezi au mwezi mzima ni mambo mangapi utawafanya kupitia hiyo siku moja

Maana binadamu ujanja wake wote upo kwenye muda kwa kufanya hivyo ndani ya hiyo siku moja tutaigawa katika vipengele
Na binadamu atakuwa huru pasipo kuhofia miaka inaenda hakuna nilichofanya

Uzi tayari karibuni kwenye mjadala
Sasa mishahara ya watu si itachelewa, maana kutoka mwisho wa mwezi mmoja hadi mwingine itakuwa ni miezi 6 ya sasa..
 
eeh bwana ee yap kwa hiyo mkuu mfano upo kwenye gari iliyobeba mawe na yale mawe ya kazidi mbële ukaamua kuyapanga nyuma kabisa ya bord hivi ni matokeo gani utayapata kipindi unaendesha hiyo gari?
Hilo bwawa ni kamzigo kadogo tu kwa dunia hakawezi ipunguza kasi. Wewe kama limzigo la tani 400 linategemewa kuja kudondoshwa baharini na wala usinotice chochote, hicho ni kitu kidogo tu hata kama kina tani lak moja au milion
 
Miili yetu ina saa “clock” yake na majira na mzunguko wake kama ilivyo dunia. Siku/muda wa kuishi binadamu hautokani na urefu wa miaka inayohesabiwa kwa mzunguko wa dunia. Unapaswa kuelewa masuala ya absolute na relative time hapa.
acha uongo bas sema hivi mtindo wetu wa maisha ndio inatuzeesha, refer wale haki na ukwa wa nijeria hivi wale hata wangekwambia wana miaka 18 ungekata ni kipi kilichopelekea wao kuwa vile
 
Hilo bwawa ni kamzigo kadogo tu kwa dunia hakawezi ipunguza kasi. Wewe kama limzigo la tani 400 linategemewa kuja kudondoshwa baharini na wala usinotice chochote, hicho ni kitu kidogo tu hata kama kina tani lak moja au milion
broo nazan umeelewa nilichouliza na umeelewa wachina wanachodai kuhusu uzito wa hilo bwawa karibu tujadili
 
Back
Top Bottom