Mnaoingia kwenye ndoa chunga sana hii!!!

Mnaoingia kwenye ndoa chunga sana hii!!!

Nilikuwa nipewe mtoto wa namna hiyo machale yakanicheza binti alifosi nikamtafune roho ikakataa kabisa kumbe watu washafanya yao anatafuta wakumpa msala. Bahati nikasafiri kurudi tumbo kubwa ndio kupewa mchapo namtu was Kalibu alikua anatega ni ingie king Tu mzigo nipewe
 
Tulia mzee kitanda hakizai haramu, ilmradi anakuita baba basi furahi
 
Mungu aniepushe na dhambi hii ya kumbambikia mtu mtoto. Nahisi nafsi inaweza kunisuta mpaka siku naingia kaburini. Sijui wanawake wengine wanapataje ujasiri huo.
wanawake maamuzi yenu huwa ni kiboko.. halaf wala hamuogopi mnafanya na mnatulia tu kulaleki...!!!
 
Vijana punguza show off, ukiwa baba suruali hubambikiwi miaka buku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom