Mnaoingia kwenye ndoa chunga sana hii!!!

Mnaoingia kwenye ndoa chunga sana hii!!!

Muwe na huruma jamani hiyo hutokea bahati mbaya tu sometimes inakuwa hujui mimba n ya nan.
 
Mungu aniepushe na dhambi hii ya kumbambikia mtu mtoto. Nahisi nafsi inaweza kunisuta mpaka siku naingia kaburini. Sijui wanawake wengine wanapataje ujasiri huo.
Huwa unalala wewe?
 
Hakuna dhambi isiyotoa nafasi ya kutafakari. Kusingizia mimba inakuwa tukio dogo sana maana lilianzia kwenye usaliti, uzinzi, mimba ndo tunakuja kusingizia.

Anyway, ts good hutamani kufika huko. Naamini unajua jinsi ya kutokufika huko. saludos!
1-3
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom