Mnaoingia kwenye ndoa chunga sana hii!!!

Mnaoingia kwenye ndoa chunga sana hii!!!

omereyo

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2012
Posts
308
Reaction score
91
Daah aisee wadada zetu wengine wamekubuhu.unakuta mdada ana mabwana hawajuani.mmoja mkoa mwingine anapoishi.sasa basi mmojawapo anaingia kwenye kingi (anampa ujauzito)lakini anakuwa hapendwi kwakuwa haelewekieleweki.
Sasa lile jamaa linaloonyesha walau linaeleweka kwa macho ya nyama ya huyo mdada linabebeshwa mzigo kwakuwa wanafanyaga kavu.

Uuwwii ama kweli ndoa nyingi sasahivi watoto ni wa baba wa mkoani.hata mitoto haichangamki kiviile na baba jina wao.kuweni waangalifu hao watoto wa kubambikizwa hata sumu wanaweza kuwawekea.maana damu nzito bhana
 
Pole mkuu, umekutana na hili balaa nini?
 
Mungu aniepushe na dhambi hii ya kumbambikia mtu mtoto. Nahisi nafsi inaweza kunisuta mpaka siku naingia kaburini. Sijui wanawake wengine wanapataje ujasiri huo.

dhambi/uovu unaweza kukupofusha ukafanya mambo ambayo hukuyafikiria kabla.

Nikimkumbuka mfalme Daudi na mke wa askari wake sina hamu kabisa.
 
dhambi/uovu unaweza kukupofusha ukafanya mambo ambayo hukuyafikiria kabla.

Nikimkumbuka mfalme Daudi na mke wa askari wake sina hamu kabisa.
Nakubaliana nawe, lakini kuna dhambi zingine unaweza kuziepuka ukiamua kwa mfano hiyo ya kusingizia mtu mtoto au kutoa mimba. Ni dhambi zinazotoa nafasi ya kutafakari kabla ya kutenda.
 
Mungu aniepushe na dhambi hii ya kumbambikia mtu mtoto. Nahisi nafsi inaweza kunisuta mpaka siku naingia kaburini. Sijui wanawake wengine wanapataje ujasiri huo.
Mwanamke ni shetani namba mbili duniani,
Awezaye fanya lolote litakalokuwa na manufaa kwake,ata kutoa uhai wa mtu.
 
Nakubaliana nawe, lakini kuna dhambi zingine unaweza kuziepuka ukiamua kwa mfano hiyo ya kusingizia mtu mtoto au kutoa mimba. Ni dhambi zinazotoa nafasi ya kutafakari kabla ya kutenda.


Hakuna dhambi isiyotoa nafasi ya kutafakari. Kusingizia mimba inakuwa tukio dogo sana maana lilianzia kwenye usaliti, uzinzi, mimba ndo tunakuja kusingizia.

Anyway, ts good hutamani kufika huko. Naamini unajua jinsi ya kutokufika huko. saludos!
 
Mungu aniepushe na dhambi hii ya kumbambikia mtu mtoto. Nahisi nafsi inaweza kunisuta mpaka siku naingia kaburini. Sijui wanawake wengine wanapataje ujasiri huo.
Mwambie Mungu akuepushe na dhambi ya kila namna na wewe!
 
Bado tu kijiti hakitoshi??
Haya basi tufanye hivi ongezea cha pili kisipotosha chomoa weka kidole halafu nusa mxiiiiiieeeeeew
Ndo tatizo la mwanamke,uwa anawaza mawazo ya kishetani,
Sishangai kesho ulalamike mume kala tigo yako,kumbe unajua utumizi wake,
ndo nyie mnaobadili uelekeo wa ndege tunduni mwake mnaweka lisilo ruhusiwa.
 
Mungu aniepushe na dhambi hii ya kumbambikia mtu mtoto. Nahisi nafsi inaweza kunisuta mpaka siku naingia kaburini. Sijui wanawake wengine wanapataje ujasiri huo.
Hata wewe inawezekana una ujasiri ambao wanawake wenzako hawauwezi na vivyohivyo wanaomba Mungu awaepushie mbali maana nafsi zao zinaweza kuwasuta mpaka siku wanaingia kaburini.
Mwanamke anamzaa mtoto kiumbe hai malaika wa Mungu asie na hatia anamnyonga mpaka kufa anamtia kwenye rambo na kwenda kumtupa asindwa kubambikiza mtoto!?
 
Hata wewe inawezekana una ujasiri ambao wanawake wenzako hawauwezi na vivyohivyo wanaomba Mungu awaepushie mbali maana nafsi zao zinaweza kuwasuta mpaka siku wanaingia kaburini.
Mwanamke anamzaa mtoto kiumbe hai malaika wa Mungu asie na hatia anamnyonga mpaka kufa anamtia kwenye rambo na kwenda kumtupa asindwa kubambikiza mtoto!?
Inasikitisha sana.
Kweli Mungu atuepushe na uovu huo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom