KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 3,881
- 4,510
Mimi hao ndo nawapenda mkuu.Maana sichelew kuwaaibisha piaMkuu unakuta wengine vijana kabisa anajitia ulimbukeni kwa vijana wenzake hata kama walisoma pamoja......bora hata wazee ni rahisi hata kumvumilia.