Mnaletaje watoto Bar?

Mnaletaje watoto Bar?

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,023
Reaction score
13,370
Nipo sehemu najitundika madrip. Kuna wamama na wababa wamekuja na vitoto vyao under 5 vinazurula humu bar,nikienda toilet nakutana navyo, njiani nakutana navyo hadi usiku huu.

Wazazi tafuteni sehemu nzuri kwa watoto na sio bar.
 
Nipo sehemu najitundika madrip. kuna wamama na wababa wamekuja na vitoto vyao under5 vinazurulula humu bar,nijitnka toilet nakutana mavyo njian hadi usiku huu
tafuteni sehemu nzuri kwa watoto na sio bar.


Bwana Deo, ni kweli ulisemalo, nadhani ifike wakati tuvunje ukimya ili kujenga jamii yenye kutambua haki za watoto na wajibu wa wazazi

Kwakuwa upo site ungejaribu kutoa ushauri kwa hao wazazi kwa lugha ya kistaarabu kabisa ili kutochafua hali ya hewa,

Yawezekana hao wazazi wanaingia au hawaingii humu jamvini kwa maana hiyo ujumbe wako hautakuwa msaada kwao wala watoto wenyewe
 
kweli kabisa umefika wakati jamii iamke na kukemea hili ili tuokoe taifa letu lijalo,wazazi waelezwe ukweli na wazazi wawe tayari kushauriwa kwa manufaa ya taifa.Kwa nchi kama iraq wazazi kama hawa wangefanywa kitu mbaya
tubadilike jamani
 
Hata mm nipo bar fulan naona kuna vitoto vinachezacheza kuzunguka meza yangu. Ngoja vimwage mapochopocho niliyouaweka mezani kwangu. Nitajitoa ufahamu nivigonge chupa.
 
Leo ni sikukuu
uswahili hata wasio toka leo wanatoka
wengine wametoka kwa 'ruhusa' ya kuwatembeza watoto kwenye sikukuu
kumbe wana 'vibuzi' vyao ndo matokeo
 
Hata mm nipo bar fulan naona kuna vitoto vinachezacheza kuzunguka meza yangu. Ngoja vimwage mapochopocho niliyouaweka mezani kwangu. Nitajitoa ufahamu nivigonge chupa.

hahahaha hao malaika hawaelewi kitu bhana
 
Inabidi wenye mabaa ndio wawajibishwe. Bongo hakuna age restriction aisee. Hata kwenye supu ya ngumi unakuta wamasai wametoka kanisani na tibinti miaka mitatu na vinajitahidi kunywa supu ina pilipili balaa! Ushamba hauna mwenyeji!
 
Inabidi wenye mabaa ndio wawajibishwe. Bongo hakuna age restriction aisee. Hata kwenye supu ya ngumi unakuta wamasai wametoka kanisani na tibinti miaka mitatu na vinajitahidi kunywa supu ina pilipili balaa! Ushamba hauna mwenyeji!

bongo hata ustaraabu tu acha sheria
hujawahi kuona mtu anadokoa chipsi na mkono wake ? na ziko kwenye kabati
 
Hata mm nipo bar fulan naona kuna vitoto vinachezacheza kuzunguka meza yangu. Ngoja vimwage mapochopocho niliyouaweka mezani kwangu. Nitajitoa ufahamu nivigonge chupa.

Ha.ha.ha usijetolewa ufahamu kweli
 
Kushindwa kujua nifanye nini kwa wakati gani na kwa nini.... hapo tu ndiyo ratizo
 
Siku nyingine mkiona mtu kaja na watoto Bar azisheni ugomvi wa kizushi muwapasue bichwa na wazazi wao wakome kabisa.
 
Ifike wakati wazazi Wa namna hiyo wapewe elimu kwani wale watoto hawajui lolote,waacheni wakikua wajifunze wenyewe
 
kesho ukimkuta mtoto anang'ang'ania mdomo wa mwenzie unamshangaa kumbe baba jana alimbananisha bar maid mbele yake.
 
bongo hata ustaraabu tu acha sheria
hujawahi kuona mtu anadokoa chipsi na mkono wake ? na ziko kwenye kabati

Hivi ni wapi bongo ukienda kununua pombe au sigara unaombwa kitambulisho?

Halafu kuna umri wa chini wa kuingia klabu (zile za usiku)? Mfano pale Maisha...huwa wanaomba kweli ID mlangoni?

Na hapo wala sijagusia mambo ya zoning - mabaa, magesti (madanguro), makanisa, makazi ya watu, shule,- kila kitu mumo kwa mumo.

Kuna watu wamejenga mabaa kwenye maeneo ambayo yalitengwa kuwa wazi na hakuna chochote kilichotokea.

Hii nchi ni ya ajabu sana!
 
Nipo sehemu najitundika madrip. kuna wamama na wababa wamekuja na vitoto vyao under5 vinazurulula humu bar,nijitnka toilet nakutana mavyo njian hadi usiku huu
tafuteni sehemu nzuri kwa watoto na sio bar.

kuna siku nilikuwa kijiweni[baa] nimekaa na marafiki basi meza ya jirani akaja baba,mama na watoto wadogo watatu...mmoja wa member mwenzetu akasema hwa wazazi wamekuja na watoto hawana akili hawajui hapa ni baa na si sehemu nzuri kwa watoto?! akasema dawa yake ndogo wataondoka sasa hivi....yule jamaa akaanza kumwita muhudumu kwa sauti 'WE BAA MEDI NJOO HAPA HARAKA K..........MAKO MPE KINYWAJI KILA MTU KWENYE MEZA YETU,FANYA HARAKA SIO UNALEGEEZA MK......NDU KAMA UNAF....RWA!!!!! yule mzee aliekuwa kakaa na watoto aliinuka na watoto wake wakatokomea! sidhani kama huyo mzee atarudia kwenda baa na watoto.
 
Hivi ni wapi bongo ukienda kununua pombe au sigara unaombwa kitambulisho?

Halafu kuna umri wa chini wa kuingia klabu (zile za usiku)? Mfano pale Maisha...huwa wanaomba kweli ID mlangoni?

Na hapo wala sijagusia mambo ya zoning - mabaa, magesti (madanguro), makanisa, makazi ya watu, shule,- kila kitu mumo kwa mumo.

Kuna watu wamejenga mabaa kwenye maeneo ambayo yalitengwa kuwa wazi na hakuna chochote kilichotokea.

Hii nchi ni ya ajabu sana!

ni zaidi ya ajabu
jirani yangu kaanzisha kanisa nyumbani kwake na mziki wa gitaa usiku kucha
yaani full kelele.....shida tupu hii nchi...baa zinaleta promotion events while ziko kwenye makazi ya watu na hakuna sound proof
 
Hivi ni wapi bongo ukienda kununua pombe au sigara unaombwa kitambulisho?

Halafu kuna umri wa chini wa kuingia klabu (zile za usiku)? Mfano pale Maisha...huwa wanaomba kweli ID mlangoni?

Na hapo wala sijagusia mambo ya zoning - mabaa, magesti (madanguro), makanisa, makazi ya watu, shule,- kila kitu mumo kwa mumo.

Kuna watu wamejenga mabaa kwenye maeneo ambayo yalitengwa kuwa wazi na hakuna chochote kilichotokea.

Hii nchi ni ya ajabu sana!

mkuu maisha club na bilicanas siku hizi zinajaa vitoto[15-19] siku wakiuliza vitambulisho zitakufa coz hamna mtu mzima anaingia humo kama wapo ni wachache sana
 
tumeuza viwanja wa michezo tumejenga bar, naona matumizi yanawagusa wote
 
mkuu maisha club na bilicanas siku hizi zinajaa vitoto[15-19] siku wakiuliza vitambulisho zitakufa coz hamna mtu mzima anaingia humo kama wapo ni wachache sana

Good point!

Majuzi tu hapa kuna mdogo wangu mmoja nilimpeleka na baadaye kwenda kumchukua hapo Maisha.

Crowd niliyoiona ikiingia na kutoka kweli ilikuwa kwenye hilo rika ulilolitaja.

Sikuona watu wazima wenye umri mkubwa (at least kimuonekano) wakiingia na kutoka.
 
Back
Top Bottom