Nlikuwa nachefukwa nkiskia hicho kiwimbo dah ingekuwa ni leo ningelamba ndimu kwakweli...
walijua igizo la tausi? ndo hako kawimbo kameungwa ungwa kutoka kwenye hilo igizo ni kiwimbo kilikuwa kinaimbwa tu na watoto...Ni kiwimbo gani hiki.......mbona sijawahi kukisikia........?
Nlikuwa nachefukwa nkiskia hicho kiwimbo dah ingekuwa ni leo ningelamba ndimu kwakweli...
walijua igizo la tausi? ndo hako kawimbo kameungwa ungwa kutoka kwenye hilo igizo ni kiwimbo kilikuwa kinaimbwa tu na watoto...
Unakumbuka Igizo la tausi la wakenya??
wewe na mimi
mimi mdogo
gogo la mti
tina na mjuba
baba mkubwa
bwawa la samaki
king majuto
tone la maji
Ni kiwimbo gani hiki.......mbona sijawahi kukisikia........?
Dr kuna watoto wa enzi za Mwinyi na Mkapa humu...wana vimichezo vyao wenyewe
Ila nahisi ulipata kusikia wadogo zetu, watoto zetu wakiiimba haka kawimboo
Basi tu nlikuwa sikapendi, nakumbuka nlikuwa primary wakat hako kawimbo kanashika kasi basi kila mtu shuleni anakaimba, wengine wanaandika kwenye madaftari aaah yan nachukia nikiskia!!!!mara ukutane na vitoto vina mapengo navyo vinaimba uuuh bora lilipita hilo naloHaha why, mamiii
wee mwanamke wewe hahahaha unavituko teh teh teh