Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,309
- 4,017
Kuna wakati ujambazi ulikithiri maeneo ya Kagera na maeneo ya jirani na mkoa huo. Ujambazi mkali uliosababisha vifo na majeraha.
Late 90s na early 2000s, kulikuwa kuna vikundi vinavyofanya uvamizi kwa kutumia siraha za moto. Watu wengi walisema wengi wa wale majambazi walikuwa ni wenye asili ya Burundi, Rwanda na Congo.
Magari mengi yalikuwa yanavamiwa na huku abiria kuporwa mali zao. Majumba na biashara zilivamiwa na mara nyingine wahanga kuuliwa.
Wengi walisema jamaa walikuwa ni wale waasi katika vita za wenyewe kwa wenyewe wakipenyeza kuingia Tz na silaha. Wengine inasemekana walikuwa ni wakimbizi waliotoweka kutoka refugee camps na kujiunga na connection za ujambazi.
Tunaomba mwenye info au shuhuda zaidi atupatie kuhusiana na issue ya ujambazi kipindi kile maeneo ya Kagera.
Late 90s na early 2000s, kulikuwa kuna vikundi vinavyofanya uvamizi kwa kutumia siraha za moto. Watu wengi walisema wengi wa wale majambazi walikuwa ni wenye asili ya Burundi, Rwanda na Congo.
Magari mengi yalikuwa yanavamiwa na huku abiria kuporwa mali zao. Majumba na biashara zilivamiwa na mara nyingine wahanga kuuliwa.
Wengi walisema jamaa walikuwa ni wale waasi katika vita za wenyewe kwa wenyewe wakipenyeza kuingia Tz na silaha. Wengine inasemekana walikuwa ni wakimbizi waliotoweka kutoka refugee camps na kujiunga na connection za ujambazi.
Tunaomba mwenye info au shuhuda zaidi atupatie kuhusiana na issue ya ujambazi kipindi kile maeneo ya Kagera.