Mnakera na tabia zenu za kulazimisha kuolewa

Mnakera na tabia zenu za kulazimisha kuolewa

Halafu unaweza kuta ni mchepuko tu..... Mbwembwe nyingi....
 
wakiacha choma moto sku nyngine ajifunze kuondoka na mizigo yake.
 
sa afanyeje kama ameona na wewe utapeli umekuwa mwingi?
 
he hata nyie mnakera na mitabia yenu ya kulazimisha mizinaaa hovyo hovyo.....
 
Ha ha ha hata uache chupi mia nane kwa mwanaume kazi bureee.
 
Dah Bujibuji kiboko... Anyways,kesho utakuta na pedi kakuachiaa kuonesha msisitizo...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu buji mbona wewe umeoa kitambo mpaka siku ile ulikuta sms kwenye simu ya mkeo akimsifia mchepuko wake unavyomchizisha kitandana na uliweka mada hapa au tunataniana hapa jukwaani mada nyizi ni za uzushi?

Na Yule G...esi mitikisiko jeee?
 
Back
Top Bottom