Hii nchi ni ya ajabu sana...wanakataza watu wasivute bangi wala kujihusisha na bangi wakati...serikali hiyo hiyo inaruhusu utengenezwaji wa lizla...karatasi inayotumika katika matumizi ya kuvutia bangi....hivi wadau mnaliona hili liko sawa kweli....
zinaingia kwa matumizi mengine na ckwawatu kuvutia bangi
Huwezi kulala ndani kwa kesi ya bhangi
sana sana Fain 5000
#kituoChaMagomeni
hii imenikuta na kidhibiti ubaoni...banghi tamu jamani
tivute tinye tikalale
Hii nchi ni ya ajabu sana...wanakataza watu wasivute bangi wala kujihusisha na bangi wakati...serikali hiyo hiyo inaruhusu utengenezwaji wa lizla...karatasi inayotumika katika matumizi ya kuvutia bangi....hivi wadau mnaliona hili liko sawa kweli....
Kuna jamaa anasomesha watoto shule kwa biashara ya bangi
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums