Aisee utaniua, mie nataka nile nishibe hata kama ni mlo mmoja tu. Sasa budget za namna hio mbona kali sana. Ugali paka haruki na perege 3 aisee? haitafaa πππHahaha tatizo najiangalia mimi bajeti yangu vile inakuwaga kali, nakumbuka siku za nyuma nilikuwaga nanunua samaki kilo tatu hiyo bajeti ya mwezi mzima, ukija na njaa njaa zako za kula kilo nzima kwa mara moja utanikwaza walah.
Sio uchoyo nadhani ni ubahili, mchoyo ye anakula mwingine anamfanyia mtima nyongo
Vereeeeee rightHuyo ni mzembe wa kupindukia...inaonesha kwao yuko peke yake, miaka yote amekaa na hausigeli na ni type ya wale watoto ambao hata akifanya madudu mzazi hamfinyi wala kumfokea. Inabidi wewe ndio uchukue jukumu la kumfundisha na kumuelekeza yote aliyotakiwa kujua tangu akiwa na miaka 10. Kila la heri mkuu
[emoji3][emoji3][emoji3]Hapana,yaan kabsa nikae nimfundishe,kwakua nampenda sana au?huyu imekula kwake
Bajeti inaendana na uchumi, ukiwa unatoa kodi ya meza ya kutosha nakubaniaje sasaAisee utaniua, mie nataka nile nishibe hata kama ni mlo mmoja tu. Sasa budget za namna hio mbona kali sana. Ugali paka haruki na perege 3 aisee? haitafaa [emoji1][emoji1][emoji1]
budget yako nyoko hio
Eh kwakweli mie kula ndio first priority, nile vizuri nishibe maana uwezo wa kujenga ghorofa sina.Bajeti inaendana na uchumi, ukiwa unatoa kodi ya meza ya kutosha nakubaniaje sasa
Hahahaaaaaaa, humu kuna watu huwa wanajifanya wana uwezo, mtoa mada yupo sahihi kabisa ila kuna watu wameamua kumnanga tu, kama mtu mmoja anaweza kula kuku wawili kwa siku, ukiwa na familia ya watu watano wanakula hivyo na matumizi mengine ya rafu si utapinda mgongo unatumikia watu[emoji119][emoji119][emoji119]Utashiba kuku peke yake? Kama una njaa sana si upike na kingine mfano ugali, wali, ndizi n.k
Kama hela ipo kwanini usile, na mimi napanga bajeti kulingana na uchumi wanguEh kwakweli mie kula ndio first priority, nile vizuri nishibe maana uwezo wa kujenga ghorofa sina.
Hamna ni mtu wa sifa tu ampe muda ataona yaani anaweza asuke leo rasta kesho afumue,nguo harudi mara tatu anashindana na rafiki zake...wapo wengi wa aina hiyo na hasa ambao hawatafuti hizo hela kwa jasho lao!Hapana mkuu huyo kwanza anaonekana bado mdogo hata maisha hayajui kwa hiyo ni wa kufundishwa tu
Kama mimi piga vunja charaza makofi mabuti ya kutosha na teke moja aka tue kwao uo upumbavu hatutaki mjini mjini akili alaaaha!Mtimue tena fukuza fasta bila kumpepesea macho. Sio mara zote mvumilivu hula mbivu ila hukosa kabisa muda mwingine. Fukuza kabisa nyambafuuu...
Awe anamfinyaHuyo ni mzembe wa kupindukia...inaonesha kwao yuko peke yake, miaka yote amekaa na hausigeli na ni type ya wale watoto ambao hata akifanya madudu mzazi hamfinyi wala kumfokea. Inabidi wewe ndio uchukue jukumu la kumfundisha na kumuelekeza yote aliyotakiwa kujua tangu akiwa na miaka 10. Kila la heri mkuu
Haswaaaa hakuna kucheka na kima bwana....Kama mimi piga vunja charaza makofi mabuti ya kutosha na teke moja aka tue kwao uo upumbavu hatutaki mjini mjini akili alaaaha!
πππππππͺπͺπͺπͺπͺπͺπͺπͺHaswaaaa hakuna kucheka na kima bwana....
Unakujaga na maswali short and clear dadeqhuyo msichana ana umri gani kwanza?