Asubuhi kinakua na supu kabambe sana ya utumbo. Ukishaipata na ndizi mbili unaagiza castle lite baridi huku unasubiri nyama iive. Kama Kuna mchepuko wako wa long time, huo ndio muda wa kuchati nae.Utakua unafanya nini hapo mnadani tangu asubuhi?
Asubuhi kinakua na supu kabambe sana ya utumbo. Ukishaipata na ndizi mbili unaagiza castle lite baridi huku unasubiri nyama iive. Kama Kuna mchepuko wako wa long time, huo ndio muda wa kuchati nae.Utakua unafanya nini hapo mnadani tangu asubuhi?
Wewe Ni mtu muhimu.Vp mkuu minada ya huko darisalaama bia hua zinakua bei tofauti au ni ile Ile 1500
Maana huku ukienda mnadani unakuta bia ni ya Moto bei 2000 ila sijui wale watu wanawekaga nn huko aisee bia zao tamu balaa
ukiweka hapo na mguu wa mbele wa mbuzi+na mbavu zake utakunywa kret na bado unatembea usiombe pia mue na kampan kubwa utataman kila siku iwe na mnada
Mnada wa Magha Hydom hataree viburudisho vya KUTOSHAVp mkuu minada ya huko darisalaama bia hua zinakua bei tofauti au ni ile Ile 1500
Maana huku ukienda mnadani unakuta bia ni ya Moto bei 2000 ila sijui wale watu wanawekaga nn huko aisee bia zao tamu balaa
ukiweka hapo na mguu wa mbele wa mbuzi+na mbavu zake utakunywa kret na bado unatembea usiombe pia mue na kampan kubwa utataman kila siku iwe na mnada
PGO tupe bei ya bia...na viburudishoNiko kwa Manka hapa, nimevaa T-shirt blue bahari na pensi ya kijivu, nimepaki kirukuuu pale juuu. Karibu mdau tusalimiane. Siasa tupa kule hapa ni mbuzi hadi kondoo wanune
Noma kivipi pindi hata ka-photo hamtupii...🤔🤔Noma sana
Acha kabisa mkuuWewe Ni mtu muhimu.
Tutafutane jumapili ijayo.
Ila uagizage kidali chote na mbavu upande mzima Kama mko wawili.
Nilitaka kusahau kashokolo mate utumbo wa kuchoma....
Usisahau mnada mmoja wa gendiMnada wa Magha Hydom hataree viburudisho vya KUTOSHA
Njoo huku utakuta kila kitu! We live once njooni tufurahiPGO tupe bei ya bia...na viburudisho
Kuna mwingine Vigwaza lkn hauna mvuto maana kwanza Ni mbali na Dar, gesti za kutafuta. Raha yake uchukue nyama uje uchomee nyumbani kwako.Usisahau mnada mmoja wa gendi
yaani Leo nilikua Sina mpango wa kucheka ila Kwa hapaMume wa dadaako atakuruhusu kwenda mkuu?
Ushafika? Manka namjua saana sister hanaga makuu mpolee