Mnadani KIBAMBA kama kawa

Mnadani KIBAMBA kama kawa

Vp mkuu minada ya huko darisalaama bia hua zinakua bei tofauti au ni ile Ile 1500

Maana huku ukienda mnadani unakuta bia ni ya Moto bei 2000 ila sijui wale watu wanawekaga nn huko aisee bia zao tamu balaa
ukiweka hapo na mguu wa mbele wa mbuzi+na mbavu zake utakunywa kret na bado unatembea usiombe pia mue na kampan kubwa utataman kila siku iwe na mnada
Wewe Ni mtu muhimu.
Tutafutane jumapili ijayo.
Ila uagizage kidali chote na mbavu upande mzima Kama mko wawili.
Nilitaka kusahau kashokolo mate utumbo wa kuchoma....
 
Vp mkuu minada ya huko darisalaama bia hua zinakua bei tofauti au ni ile Ile 1500

Maana huku ukienda mnadani unakuta bia ni ya Moto bei 2000 ila sijui wale watu wanawekaga nn huko aisee bia zao tamu balaa
ukiweka hapo na mguu wa mbele wa mbuzi+na mbavu zake utakunywa kret na bado unatembea usiombe pia mue na kampan kubwa utataman kila siku iwe na mnada
Mnada wa Magha Hydom hataree viburudisho vya KUTOSHA
 
Niko kwa Manka hapa, nimevaa T-shirt blue bahari na pensi ya kijivu, nimepaki kirukuuu pale juuu. Karibu mdau tusalimiane. Siasa tupa kule hapa ni mbuzi hadi kondoo wanune
 
ongeza sautiii....wimbo wa pombe ni tamu...pombe ni tamu
 
Hivi hizo nyama choma za mbuzi ni zile zile za KWA morombo au?

Maana tulozoea KWA morombo tusije tapika mkatucheka kumbe tumekua vitu vya ajabu
 
Back
Top Bottom