MADIBA MANDELA
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 503
- 398
Nilikua nasikiliza DW kupitia radio free leo jioni wakati watangazaji wakisoma habari za corona nchini Tanzania operator akaondoa ile habari akaweka matangazo nilikwazika sana ukizingatia kipindi cha uchaguzi uhuni kama huu ulishafanyika tena.
Sidhani kama kwa nyakati kama hizi mnasaidia au nikufunika kijinga cha Moto kwa pamba mmeniboa sana kwakweli.
Sidhani kama kwa nyakati kama hizi mnasaidia au nikufunika kijinga cha Moto kwa pamba mmeniboa sana kwakweli.
tena!!