NO REFORM NO ELECTION
Mnatunzaje pesa jamani
Mshahara wangu 650,000 kwa mwezi
Sina familia inayonitegemea
Kwa Wazazi naweza kutoa haizid 100.000
Na siyo lazima kuwapa
Yaan sina yule mtu ananitegemea kabisa kabisa
Lakini matumizi yangu yamekua makubwa kuliko kipato ninachoingiza
Natunza vipi pesa ili niyafikie malengo??