NANCA
Member
- Jun 23, 2023
- 92
- 100
Mimi chief nimpongeze Rais Samia kwa mzigo wa miradi anoopiga, kiukweli ukweli anapambana na kujitahidi sana, maua kwake ingawa 2025 simpi kura yangu maana kuna mbunge wake mmoja darasa la 4B tena failure anataka kunipokonya ardhi yngu kwa kutumia mamlaka yake.
Hivyo nimeamua kumjumuisha Rais Samia kwasababu ni mbunge wake na nimwambie tu hiyo mbunge kuwa mimi ni mwingine asitegemee kupata hata nukta ya ardhi yangu kwa kuitumia serikali, mkono wa Mungu kwangu una nguvu sana kuliko alivyowaahidi kuexperience kwa wengine aliodhurumu.
Hivyo nimeamua kumjumuisha Rais Samia kwasababu ni mbunge wake na nimwambie tu hiyo mbunge kuwa mimi ni mwingine asitegemee kupata hata nukta ya ardhi yangu kwa kuitumia serikali, mkono wa Mungu kwangu una nguvu sana kuliko alivyowaahidi kuexperience kwa wengine aliodhurumu.