englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,209
Hizi ni hadithi ambazo nilikuwa napewa na babu,thubutu,utajua kwanini unaishi na mbwa na paka nyumbani na sio simbahapana bwana simba huwa ni mlipa fadhila sana kama ukimtoa mwiba uliomchoma mguuni basi lazima akulipe fadhila kwa kwenda kuua swala na kukuletea. ila akikuletea basi usimle wote kata nusu nusu mbakizie atakushukuru pia.
Angalieni nyuma ya huyo simba kuna wengine kibao, yawezekana ni wa kufugwa hao
Hao wengine je? Wanamlia taimingiAmevizia aliyepigwa nusu kaputi
Ni chimba wa kichachaHawa .ni paka au chimba ....?
kumbe simba ndivyo alivyo hivi?hapana bwana simba huwa ni mlipa fadhila sana kama ukimtoa mwiba uliomchoma mguuni basi lazima akulipe fadhila kwa kwenda kuua swala na kukuletea. ila akikuletea basi usimle wote kata nusu nusu mbakizie atakushukuru pia.
ndio maana bado kidogo Yanga watufunge.simba wa siku hizi ni kama kuku tu si unaona wakuu