.......... Nanyi ndugu zangu wanaume, tafadhali nanyi mjitahidi hata kujichamba wacheni uvivu jamani
Kweli inakera kuna mdada huwa nikizungumza nae lazima kuwe na umbali wa mita fulani maana ni uvundo balaa. Mimi nakushauri mpe Big G kabla ya denda.
Mi nishakuaga na mwananke wale wachamba kwa toilet pepa ( kunradhi kwa kuongelea hili). Sasa anakuja mtiane huku hajajiswafi kwa maji, sasa kunakua na kauvundo flani ivi kanakera sana. Day 1 nikavumilia ila sikumaliza maana ile kharf sie wangine hatuziezi. Sasa siku ya pili kabla ya kutiana nkamwonyesha washroom, loh kurudi mambo yakawa yaleyale, nikasema labda hivi ndio walivo wanaake wa bara (watani msikasirike)..nika-allow uhusiano uchukuliwe na kifo cha asili. Kimsingi usafi ni muhimu ili kufaudu tundi.
Wakatabahu/
Duuu, hii kali sasa.
Kweli inakera kuna mdada huwa nikizungumza nae lazima kuwe na umbali wa mita fulani maana ni uvundo balaa. Mimi nakushauri mpe Big G kabla ya denda.
My dear LARA1 hivi Kinondoni ni Bara ??????,
MwanaJamiiOne...........Nivea, Ciello........GFsonwin......KIng'asti ........wajameni hata kwa walio abroad hii habari imekaaje hapa..........dizzzzzziiiiiieeeeeeeee...............!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mmmmmmhhhhh......ntatukanwa hapa bure..........kwa kosa lisilo langu......mmemsikia ammi Abdulhalim......!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwa hali hii Big G haisadii kitu kwani ndo ataongeza kuvunda baada ya muda. Cha msingi ni kumkamata kwa nguvu na kumpigisha mswaki na maji ya moto huku ukijifanya unamtania kimapenzi. Kwa kweli kulala na partner anayetoa harufu ya chupi ya uvundo ni balaa. Tusipo jirekebisha tutakuwa tunavaliana face masks na helmet kabla ya tendo la ndoa kuepuka harufu na majanga mengine. Najuwa kuna wengine hawafanyi mapenzi na demu mpaka wajuwe fika huyo demu ananuka kumaanisha kuwa kakomaa. Yes, kuna watu wanapenda mademu wanaotoa natural odor (harufu ya uvundo) bila hiyo harufu mze hasimami. In short wanajifanya mabeberu yaani mpaka asikie harufu ya uvundo ndipo anapata hisia.