Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Speechless!Kipande hiki ni kizito............
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita......
Usiku niliongea nae, tukapanga niende kumwona....(distance love).....
Tukacheka....
Akaniambia jinsi anavyonipenda.....
Tukazungumzia mipango ya ndoa......
Tukaamua nikifika keshokutwa yake tupange zaidi....
Baada ya jokes za hapa na pale akanipa ushauri mzito...ushauri ambao nimekuja kuutumia na kunifaa maishani........
Nilikosa usingizi that day.......
Nikakumbuka ndoto niliyoota kama miezi mitatu nyuma....
Niliota amepata ajali na kaumia.....
Nikaiootezea.....
Kesho yake nikaamka saa kumi na moja asubuhi.....nikaghairi kwendz kanisani, ila nikawaamsha wenzangu nikawaambia waende kanisani....
Ilipotimu saa kumi na mbili nikapokea simu.....
Nikaambiwa 'fulani ' tumempoteza.....
Amepata ajali ........
Gari yake imegongana na lori.....
It took me two years to heal.....
Kwa sala na maombi.........................
Hivi ni kwanini unanifanyia hivi wakati unajua kabisa mimi ni mtoto wa mwanamke mwenzio?
This is my kongosho now,fiery,sio huyo hapo juu kwenye thread anayelilialilia wanaume.unachezeiya Konnie wewe?
Akate kamba aanzie wapi? Ana jeuri?
Nimetoka kumwongeza dozi ya limbwata mwezi ulopita, siku hizi anakunywa limbwata mwenyewe.
This is my kongosho now,fiery,sio huyo hapo juu kwenye thread anayelilialilia wanaume.
mambo konnie? i can see you are now back to your senses,acha mambo ya kulilililia wanaume bana,niniliyu ziko tele mjini....
Dear . . .
I miss you now and my heart is sore
As time goes I miss you more
Your loving smile, your gentle face
No one can fill your vacant place
Those we love dont go away
They walk beside us every day
Unseen, unheard but always near
Still loved, still missed and very dear
(mashairi kwa hisani ya ???)
Mie nimekuelewa, nashangaa in the first place ilikuwaje ukanasa. In the second place, kwenye tundu bovu.
Mie mwizi akiibiwa huwa nafanya sherehe. Nisingechungulia elimu ya UPE nahisi ningekuwa mchawi!
mzalishaji ni nurse au daktari