SINGLE RASHID
Member
- Nov 8, 2012
- 71
- 15
Leo kulikuwa na sherehe za kutangaza matokeo ya SENSA ya idadi ya watu iliyofanyika hapa TANZANIA....Mhe RAIS ameongea mengi lakin lililonishangaza mimi ni pale BWANA RAIS anapowaomba wanaume wa nchi yake wapunguze kuzaa maana idadi inatisha...SWALI..kila mtanzania anatakiwa awe na watoto wangapi?? yeye kama mwanaume anawangapi? na je kwa matokeo haya yeye kama rais amejifunza nini?? labda nimsaidie tuu kiduchu kuwa watu hawana kazi, hawana hela ..kilichopo nik watanzania sasa wanauza mechi tuu nyama kwa nyama iwe kwa wapenzi wao au wake zao....