Mmmh hivi hii ni haki

Mar 18, 2011
15
0
Habari zenu wandugu wa jf! Juzi boss we2 kamfukuza mfanyakazi mwenze2 kazi ni sawa? Kwa kifupi huyu mfanyakazi alimpigia sm mume wa mwenzake wanaofanya kazi secta 1 ofis 1 na kumwambia kwamba et mke wake anatembea na mume wake. Maskini jamaa akapatwa na hasra na kumpiga mkewe mpaka akazimia na kulazwa hospto. Mwanaume ndo akastuka na kufanya uchunguzi na kubaini ni uongo ndo hayo mambo yakafika ofisin na baada ya kikao boss akaamua kumfukuza kazi akisema ninanukuu" 2mekaa kikao 2meona 2kufukuze kazi kw sababu hizi zifuatazo 1. Fahari wawili hawakai zizi moja. 2meamua wewe uondoke mwenzako akipona 2tamrudisha kazini. 2. katika kampuni yangu sitaki wa2 waongo isije siku ukampelekea mke wangu manen0 ya uongo ukanivunjia heshma 3. kwanza utendaji wako hauridhish nilikua nafikiria kukufukuza kazi siku nying ila sikua na sababu ya msing. Chukua mshahara wako wa mwenzi huu ingawa bado mwenz haujaisha. nakutakia mafanikio mema" hivi wanajf ni haki? Si angemuhamisha2 secta? Au nyie munaunaje? Mimi binafsi imeniuma kufukuzwa kwake
 
Kumfukuza mtu kazi ni mpaka hatua zifuatwe
1. Je alikwisha kupewa onyo mara ngapi?
2. Je alipewa nafasi ya kujitetea? n.k n.k..

Kama hatua hazikufuatwa ana haki ya kwenda kwenye vyombo vya haki (kama vyama vya wafanyakazi) akasaidiwa...(ila mshauri awe anachunguza vitu kwanza apate uhakika)
 
Na yeye, kwa nini amchonganishe mke wa mtu kwa mume wake.
Vyovyote tu, lakini kitendo cha kumfanya mwenzake apigwe na mume wake, kinamtosha kupata hiyo adhabu, hana utu.
Kuna siku atamwambia mke wa Bosi, Bosi anamtaka kimapenzi kumbe uongo.

Muache akajifunze.
 
Huyo bosi anaona mbali, hata wewe ungekuja pata kichapo, mshukuru bosi
 
Kumfukuza mtu kazi ni mpaka hatua zifuatwe
1. Je alikwisha kupewa onyo mara ngapi?
2. Je alipewa nafasi ya kujitetea? n.k n.k..

Kama hatua hazikufuatwa ana haki ya kwenda kwenye vyombo vya haki (kama vyama vya wafanyakazi) akasaidiwa...(ila mshauri awe anachunguza vitu kwanza apate uhakika)

yaaa bosi alishawahi kumuonya lakini alimuambia kwamba nitakubadilishia nikupe ya kufukuza izi ofsini kama hiyo huwezi. Sijui ataanzia wapi kwenye vyombo vya sheria maana baada ya kumwambia mume wake kwamba amefukuzwa kazi mume wake amemfukuza nyumbani sasa anaish kwa ndugu zake
 
Habari zenu wandugu wa jf! Juzi boss we2 kamfukuza mfanyakazi mwenze2 kazi ni sawa? Kwa kifupi huyu mfanyakazi alimpigia sm mume wa mwenzake wanaofanya kazi secta 1 ofis 1 na kumwambia kwamba et mke wake anatembea na mume wake. Maskini jamaa akapatwa na hasra na kumpiga mkewe mpaka akazimia na kulazwa hospto. Mwanaume ndo akastuka na kufanya uchunguzi na kubaini ni uongo ndo hayo mambo yakafika ofisin na baada ya kikao boss akaamua kumfukuza kazi akisema ninanukuu" 2mekaa kikao 2meona 2kufukuze kazi kw sababu hizi zifuatazo 1. Fahari wawili hawakai zizi moja. 2meamua wewe uondoke mwenzako akipona 2tamrudisha kazini. 2. katika kampuni yangu sitaki wa2 waongo isije siku ukampelekea mke wangu manen0 ya uongo ukanivunjia heshma 3. kwanza utendaji wako hauridhish nilikua nafikiria kukufukuza kazi siku nying ila sikua na sababu ya msing. Chukua mshahara wako wa mwenzi huu ingawa bado mwenz haujaisha. nakutakia mafanikio mema" hivi wanajf ni haki? Si angemuhamisha2 secta? Au nyie munaunaje? Mimi binafsi imeniuma kufukuzwa kwake

Kama kuna UHAKIKA wa sababu zilizo tumika bora afukuzwe tu,umeumia lakini fikiria kiundani aliyofanya na implications zake mbeleni........
 
Huyo jamaa cha umbea atakuwa anatoa hata siri za ofisini.
Anadeserve kufukuzwa ukizingatia utendaji wake ulikuwa haumridhishi boss.
Kwani utaratibu wa kumfukuza mfanyakazi hapo kwenu ukoje? Usilalamike kitu kumbe mambo yote yalishaelezewa kwenye contract.
 
Habari zenu wandugu wa jf! Juzi boss we2 kamfukuza mfanyakazi mwenze2 kazi ni sawa? Kwa kifupi huyu mfanyakazi alimpigia sm mume wa mwenzake wanaofanya kazi secta 1 ofis 1 na kumwambia kwamba et mke wake anatembea na mume wake. Maskini jamaa akapatwa na hasra na kumpiga mkewe mpaka akazimia na kulazwa hospto. Mwanaume ndo akastuka na kufanya uchunguzi na kubaini ni uongo ndo hayo mambo yakafika ofisin na baada ya kikao boss akaamua kumfukuza kazi akisema ninanukuu" 2mekaa kikao 2meona 2kufukuze kazi kw sababu hizi zifuatazo 1. Fahari wawili hawakai zizi moja. 2meamua wewe uondoke mwenzako akipona 2tamrudisha kazini. 2. katika kampuni yangu sitaki wa2 waongo isije siku ukampelekea mke wangu manen0 ya uongo ukanivunjia heshma 3. kwanza utendaji wako hauridhish nilikua nafikiria kukufukuza kazi siku nying ila sikua na sababu ya msing. Chukua mshahara wako wa mwenzi huu ingawa bado mwenz haujaisha. nakutakia mafanikio mema" hivi wanajf ni haki? Si angemuhamisha2 secta? Au nyie munaunaje? Mimi binafsi imeniuma kufukuzwa kwake

Hata mimi ningemfukuza.
 
aende pale CMA(baraza la usuluhishi wa mambo ya kazi) huyu boss hana haki ya kumfukuza kazi kwa kisingizio kama hicho.Sheria ya kazi hairuhusu,huo ni uhuni.Lazima kuwe na sababu ya msingi ndani ya kazi na awe emeshapewa onyo,apewe haki ya kujitetea nk si kukurupuka tu,Huyu ana haki zote za kudai fidia na pia haki ya kurudishwa kazini au kulipwa kiasi cha mshahara ambao itaamriwa na hawa waamuzi(CMA).akipelekwa huyu boss hatakuwa na ushahidi wa kujitetea nae ni mhuni tu.Huyu dada aandae mkataba wake wa kazi,salary slip nk.....
 
Huyo ni muuwaji kwanini amchonganishe mwenzake kwa mumewe alitaka amtake yeye? boss alifanya uamuzi wa busara sana kumfukuza kazi anaweza akasingizia tena wengine ata ukimuamisha idara nyingine ataenda tena kuchonganisha huko wengine. bora alivyofukuzwa kazi.
 
ni sahihi kabisa bosi alichofanya ....narudia tena kwa sauti kubwa NI SAHIHI KABISA.......

unajua muongo anaua haraka sana kuliko mchawi?!!.......safi sana.....ufanisi wa kazi uko chini...kazi kupiga domo na kuua ndoa za watu.........

huku kwenye makampuni hakuna sijui vikao....kuna njia mbili tu nazo ni summary dismisal na consultation hii ya pili huwa ni mara chachesana na hata huwa ikifanyika then ukabaki huwezi kudumu sana...... vikao ni huko serikalini......
 
aende pale CMA(baraza la usuluhishi wa mambo ya kazi) huyu boss hana haki ya kumfukuza kazi kwa kisingizio kama hicho.Sheria ya kazi hairuhusu,huo ni uhuni.Lazima kuwe na sababu ya msingi ndani ya kazi na awe emeshapewa onyo,apewe haki ya kujitetea nk si kukurupuka tu,Huyu ana haki zote za kudai fidia na pia haki ya kurudishwa kazini au kulipwa kiasi cha mshahara ambao itaamriwa na hawa waamuzi(CMA).akipelekwa huyu boss hatakuwa na ushahidi wa kujitetea nae ni mhuni tu.Huyu dada aandae mkataba wake wa kazi,salary slip nk.....

ni kweli kabisa lokisa lakini watakaaje tena ofisi mmoja? si watakua hawapatan na mwenzake? Isitoshe shughuli zao zinaingilia si wataharibu utendaji wa kazi?
 
siku hizi, mambo ni kinagaubaga, hakuna kufichana au kuhurumiyana, iwapo bosi hakumuachisha kazi, angejenga ukuta, ndiposa bosi akatumia hikma ya kumuachisha kazi. Winter.jpg
 
Na ww akifukuzwa kazi kwa kuleta umbea humu jf atakua amekuonea? ....
 
1) Tuichambuwe hii habari kama ni "Kitunguu" au "Nyanya".

2) Hili ni shirika binafsi au Serikali au shirika la uma au si shirika?

3) Wewe ni kitunguu au nyanya? Au kachumabari?

4) Inakuhusu nini wewe hii habari?

5) Yes, ni haki ya boss kupata sababu ya kumfukuza amtakae. Elewa kwamba hakuna anaekuajiri kama hakuhitaji kazini na hakuna anaekufukuza kama anakuhitaji kazini.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom