Mmmh! Hakika Mungu Anaumba

Naomba mods mnirekebishie hiyo title muondoe neno "Mungu" iliyo kabla ya "Hakika"
 
Ni mabinti wangapi ambao leo waweza jivunia namna walivyoumbwa na Muumba wao hasa hasa wakapewa "rangi" kama alopewa huyo mrembo? ....

Na ni vijana wangapi wa kiume ama wanaume ambao watajivunia kuwa na binti ama mwanamke mwenye "wasifu" huo?
 
Kitulia si kdada fulani hivi kikiunguruma mjengoni kule kwa wagogo kuna watu wanatafuta pa kutokea
 
Wanaume wanachangia kwa kias kikubwa kupotea kwa rangi hizo adimu, kwasababu walio wengi vipaumbele vyao ni weupe, ila binafsi napenda sana natural. Black is beauty buana
 

Mmmmh! Hakika Mungu Anaumba
she is really beautiful. lakini kusema ukweli kamezidi kidogo weusi, ukifunua kalio hapo utakuta jeusiiii, ukibenjua papuchi nayo ni nyeusiiiii katikati tu pale kwenye kauwekundu sasa kama hawa uwekundu wake unakuwa na uweusi kidogo. utakachoona hapo ni utelezi tu ndio utakuambia hiyo ni papuchi..hahaha
 
very beautiful
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…