Mmiliki wa Regency Hotel afiwa na mwanae..!

Kufa kufa tu uwe tajiri au maskini mi sioni mantiki ya tukio hilo kuwepo humu. Vp mleta mada hukuwa na kitu cha kupost?
 
.,anaitwa raymond rafiki mkubwa wa alex massawe,mtoto aliyefariki anaitwa flora,ni binti wa 24yrs kama sikosei...

uyo alex massawe c ndo yule mchagga former jambazi,,anayechechemea kwa jeraha la risasi alilopigwa in 90s wakati akiwa mzigoni kuchukua visivyo vyake
 
Back
Top Bottom