M Mutambukamalogo JF-Expert Member Jan 25, 2011 397 85 Oct 14, 2011 #2 Kwanza uueleze umeokota wapi hii picha ukashindwa kuwa na habari zake!
Rejao JF-Expert Member May 4, 2010 9,220 4,059 Oct 14, 2011 #3 Watu naona wanajitafutia umaarufu..lol
Mchaka Mchaka JF-Expert Member Jul 20, 2010 4,516 1,404 Oct 14, 2011 #4 Mutambukamalogo said: Kwanza uueleze umeokota wapi hii picha ukashindwa kuwa na habari zake! Click to expand... Kama sikosei aliiokota hapaTANZANIA'S 15 MOST ELIGIBLE BACHELORS
Mutambukamalogo said: Kwanza uueleze umeokota wapi hii picha ukashindwa kuwa na habari zake! Click to expand... Kama sikosei aliiokota hapaTANZANIA'S 15 MOST ELIGIBLE BACHELORS
The Boss JF-Expert Member Aug 18, 2009 49,111 115,905 Oct 14, 2011 #5 umri wake na umri wa haidery plaza havitofautiani sana... so probably amerithi....
U ureni JF-Expert Member Jun 14, 2011 1,261 526 Oct 14, 2011 #6 Hiyo ni mali ya baba yake,au amesharithi tayari
K kabombe JF-Expert Member Feb 11, 2011 26,152 18,738 Oct 15, 2011 #7 Hakuna kitu hapo.Mmiliki ni Fidahussein,mwenye africarriers
Lukansola JF-Expert Member Sep 5, 2010 5,435 1,597 Oct 15, 2011 #8 kabombe said: Hakuna kitu hapo.Mmiliki ni Fidahussein,mwenye africarriers Click to expand... Hata mimi ndivyo nilivyojua
kabombe said: Hakuna kitu hapo.Mmiliki ni Fidahussein,mwenye africarriers Click to expand... Hata mimi ndivyo nilivyojua
babu M JF-Expert Member Mar 4, 2010 5,221 3,167 Oct 15, 2011 #9 Hii habari ndo zile zile mmiliki wa kampuni ya mabasi ya DCM ni David Cleopa Msuya kwa sababu majina yana fanana
Hii habari ndo zile zile mmiliki wa kampuni ya mabasi ya DCM ni David Cleopa Msuya kwa sababu majina yana fanana
TIMING JF-Expert Member Apr 12, 2008 24,912 11,308 Oct 15, 2011 #11 Mmiliki ni mhindi na sio patrick labda kama anatumia jina ha haidery kupata ngono