Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,884
- 155,865
Very Sad, Nchi Inajikaanga Kwa Mafuta Yake
si hekima kumrushia mawe kila Mbwa anayekubwekeaMkuu;
Aksante sana kwa andiko lako safi. Kwangu mimi nimekuelewa kuwa; Kama ni kweli hao watu walimfuatilia, naamini hawakuwa na ujuzi wa kutosha. Niliandika kuwa; Aliyekuwa anamfuatilia, alidhani anamfuatilia jinga fulani lisilo hata na uwezo wa kugundua kuwa linafuatiliwa. Ndo maana nikasema, basi huyo askari wetu, hajui kazi yake.
Ila unaposema kuwa; Acheni kujitafutia cheap public sympth I hope it is "sympathy". Sijui kama nimekuelewa hapo. Ni nani anatafuta hiyo kitu?? Lisu alimtaja/wataja wakuu wa idara fulani. Je, wewe ndio mmoja wa waliotajwa unamjibu?? Ukiona kimyaaa!! Ni nini maana ya kimya yako??
Kwahiyo...Kwa kauli yako unadokeza muuwaji!
Hao ccm mbona huku mtaani wapo wengi tu? Akiondoka Lissu na wao wataondoka kwani unafikiri aridhi huwa inapokea damu bila kulipa kisasi?Lissu huwa hakosei, CCM wanataka atoweke duniani hata leo ana wanyima raha sana.
Wameamua kwa uwezo wa Mungu wameshindwa ... mjipange tena! Laantulah! Ila kumbukeni damu hunuka!
Hivi ukiisoma hii comment yako leo hii unajitafakarije na kuhisi nini kimepungua juu yako?Mawenge yake tu nani amfatilie mtu kila haelewek anachokitaka nn mana hana rangi iliyonyooka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli Ma Lumumba yanapima upepo unaendaje humu kwa kile walichokifanya. Plate namba huwa zinachongwa tu, watu wa usalama leo wanaweka plate namba hii kwenye gari, kesho wanaweka nyingine. Mfumo wa utoaji wa plate namba za magari uko kiholela sana, utakuta plate namba ina jina la mtu, ina maana mfumo huu umewekwa makusudi ili kuwapa nafasi watu kujitengenezea plate namba zao kama vile majambazi au hawa watu wa usalama wa ccm. Huu mfumo wa utoaji plate namba za magari ni vema tuuangalie kwa jicho la tatuKufuatwa na Gari ndio kutishiwa kuuwawa??
Mawazo mengine bana, yamekaa Ki-Lumumba Lumumba....!!!!!!!!!!
Slaa agombee kwa tiketi ya ccm kwani yeyeni mwana ccm. TL ndio Chadema halisi na hamuwezi kumuua kama ambavyo mmeshindwa, aibu juu yenu. Mungu ndiye mwenye maamuzi ya mwisho juu ya uhai wa mtu sio ccm. Labda niwakubushe au kuwajulisha ambao hawajui maandiko matakatifu yanasema "Mtu anayetenda haki Mungu anamstawisha kama mtende" hivyo mungu atamstawisha TL kama mtende. Katika hili lililotikea Mungu atamponya na ataendelea kustawi kama mtende. Habari ndio hiyo.NANUKUU.... ni heri Slaa awe raisi kuliko Tindu Lisu awe mbunge.. BY JK..... MWISHO WA KUNUKUU
Kwenye matukio kama haya ndo tunagundua akili finyu za watz wengi kama wewe mkuu!Lissu huwa hakosei, CCM wanataka atoweke duniani hata leo ana wanyima raha sana.
Kama mmiliki wa gari ambalo Lissu alitaja hdharani namba zake za usajili alisingiziwa kuwa gari yake ndio ilikuwa inatumika kufuatila movement za Lissu, bila shaka mmliki husika angeshajitokeza hadharani na kukana na pengine kulalamika na hata kutaka kuchukua hatua za kisheria.
Maswali:
Je,muhusika(mmiliki wa gari husika) amejitokeza na kukana madai ya Lissu?
Kama hajajitokeza,kwanini tusiamini Lissu alikuwa sahihi kwa asilimia 100 kuwa anafuatiliwa na aliowatuhumu?
Je,watu hawa wameacha kumfuatilia au wamebadili mbinu?
Tuko salama kweli?
Binafsi naamini polisi wanajua kila kitu, tabu ni kwamba Lisu yupo upande mwengine. Tuhuma hizo zingetolewa na upande wa pili polisi ingekuwa pro-active.sasa hivi mtahimizwa kuipelekea polisi taarifa.Amani iwe nanyi, naomba kila mtanzania mwenye uwezo na utaalam wa kuangalia usajili wa magari atusaidie kuangalia jina la mmiliki wa gari ambalo lilitajwa na tundu kumfatilia tangu dar na akilipata atuwekee hapa jf, tutakua tumeisaidie police kumkamata
Uongo wake uko wapi?
Kuna wakati tuwe na akiba ya maneno. Alichokilalamikia ndicho kimedhihirika kweli kilivyo.Hivi ulitegemea kila upuuuuzi aongeao huyo kamanda wenu utolewe maelezo?? Yeye TL aitishe press tena kisha aongelee, hapa hapati airtime, apambane na hali yake tu!
Na ukweli ushajidhihirisha tayari.kiki huwa zinamfuata lissu yeye huwa hatafuti kiki anachokiongea huwa kina ukweli asilimia 100
Sijui mkuuHao ccm mbona huku mtaani wapo wengi tu? Akiondoka Lissu na wao wataondoka kwani unafikiri aridhi huwa inapokea damu bila kulipa kisasi?
Sent using Jamii Forums mobile app