Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Kama mmiliki wa gari ambalo Lissu alitaja hdharani namba zake za usajili alisingiziwa kuwa gari yake ndio ilikuwa inatumika kufuatila movement za Lissu, bila shaka mmliki husika angeshajitokeza hadharani na kukana na pengine kulalamika na hata kutaka kuchukua hatua za kisheria.
Maswali:
Je,muhusika(mmiliki wa gari husika) amejitokeza na kukana madai ya Lissu?
Kama hajajitokeza,kwanini tusiamini Lissu alikuwa sahihi kwa asilimia 100 kuwa anafuatiliwa na aliowatuhumu?
Je,watu hawa wameacha kumfuatilia au wamebadili mbinu?
Tuko salama kweli?
Maswali:
Je,muhusika(mmiliki wa gari husika) amejitokeza na kukana madai ya Lissu?
Kama hajajitokeza,kwanini tusiamini Lissu alikuwa sahihi kwa asilimia 100 kuwa anafuatiliwa na aliowatuhumu?
Je,watu hawa wameacha kumfuatilia au wamebadili mbinu?
Tuko salama kweli?