Kizazi jeuri
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 297
- 64
Habari za jumapili wakubwa na wadogo, natumaini kila mtu yupo vizuri sana.
Nina jambo nimefikiria sana, na kwa muda mrefu bila kuwa na majibu, na kwa kuwa nimeishia darasa la saba nikaogopa sana kulileta hapa jamii forum, ila leo imetokea tu nimejipa moyo na nimeamua kulileta kama fikra zangu zinavyo nituma.
Swala lenyewe ni la ELIMU yetu Watanzania, tena ni hii Elimu ya bure. Tumeshawah kufikiria kuwa bila kulipa school fees hali itakavyo kuwa katika iki kizazi? Ulimwengu na wazazi, wazazi na mtoto na pia mtoto na ya dunia.? Kwa mfano ulimwengu na wazazi, wazazi wa sasa school fees ilikuwa inawalimit sana katika starehe, kwa kiasi wakawa watulivu, na starehe, Hesabu na kila kitu ni kwa sababu ya school fees, je ada zinatolewa wazazi watakuwa wa namna gani?
Je watoto hawa wa sasa hivi ulimpii Ada utamwambia nini akuelewe wakati heshima yote alikuwa anakupa sababu ya Ada, kwa mfano mtoto wako akakumbia mimi ni gay umri wake miaka 16 hata miaka 18 hajafika ni lugha gani ya matendo utamtishia? Wakati huo ukimfukuza anaondoka.
Madhara ya wazazi kutokulipa Ada ni makubwa sana tofauti tunavyo fikiria, mvurugano utakuwa mkubwa sana ni kama Dunia bila amri za Mungu. Ada ndio speed gavana kati ya mzazi na mtoto, mtoto na Mzazi na pia heshima itaweka katika jamii, na ushenzi utakuwa mwingi sana.
Samahanini kwa kiswahili kibaya maana nimeandika nikiwa na hamu ya bang.we.
Nina jambo nimefikiria sana, na kwa muda mrefu bila kuwa na majibu, na kwa kuwa nimeishia darasa la saba nikaogopa sana kulileta hapa jamii forum, ila leo imetokea tu nimejipa moyo na nimeamua kulileta kama fikra zangu zinavyo nituma.
Swala lenyewe ni la ELIMU yetu Watanzania, tena ni hii Elimu ya bure. Tumeshawah kufikiria kuwa bila kulipa school fees hali itakavyo kuwa katika iki kizazi? Ulimwengu na wazazi, wazazi na mtoto na pia mtoto na ya dunia.? Kwa mfano ulimwengu na wazazi, wazazi wa sasa school fees ilikuwa inawalimit sana katika starehe, kwa kiasi wakawa watulivu, na starehe, Hesabu na kila kitu ni kwa sababu ya school fees, je ada zinatolewa wazazi watakuwa wa namna gani?
Je watoto hawa wa sasa hivi ulimpii Ada utamwambia nini akuelewe wakati heshima yote alikuwa anakupa sababu ya Ada, kwa mfano mtoto wako akakumbia mimi ni gay umri wake miaka 16 hata miaka 18 hajafika ni lugha gani ya matendo utamtishia? Wakati huo ukimfukuza anaondoka.
Madhara ya wazazi kutokulipa Ada ni makubwa sana tofauti tunavyo fikiria, mvurugano utakuwa mkubwa sana ni kama Dunia bila amri za Mungu. Ada ndio speed gavana kati ya mzazi na mtoto, mtoto na Mzazi na pia heshima itaweka katika jamii, na ushenzi utakuwa mwingi sana.
Samahanini kwa kiswahili kibaya maana nimeandika nikiwa na hamu ya bang.we.