Mmh jamani, wajawazito kwani lazima kuyaanika matumbo!?

Numbisa

JF-Expert Member
Dec 12, 2016
297,661
1,163,729
17818573_303999966680943_859812135801192448_n.jpg
18251725_1940111926273484_7518049508131864576_n.jpg


Kumbe huyu ni mwanamuziki linah daah hii mimba imefanyiwa showoff za kufuru
18299666_442724899409102_1283253962241212416_n.jpg

18252939_1663692677266588_5588923762692063232_n.jpg
 
View attachment 504665 View attachment 504648

Kumbe huyu ni mwanamuziki linah daah hii mimba imefanyiwa showoff za kufuruView attachment 504675
Heshima Mkuu!

Nina majibu ya hovyo sana.Kwakuwa umetupa tuchague jibu sahihi basi jibu langu ni namba 2 (Ujinga).Pia namba 3 (Ulimbukeni) nalo ni jibu zuri.

Mwanamke timamu na mwenye hofu ya Mungu kamwe hawezi kufanya uchafu wa namna hii.Iwe kwa kuiweka mtandaoni au hata kuihifadhi,Kwani ili iweje?.

Pia ni kutomlindia faragha kiumbe aliyeko tumboni.I believe in 100% kuwa aliyepigwa hiyo picha asingejisikia vyema kama angekuja gundua baadaye ukubwani kama Mama yake angeupiga ujauzito wake picha kama yeye alivyofanya.

Ninajisikia uchungu mno.Niishie hapa.
 
Wanaiga sana kwa wazungu,wangejua ni upotoshaji huu wangeacha kufata mkumbo
Heshima Mkuu!

Nina majibu ya hovyo sana.Kwakuwa umetupa tuchague jibu sahihi basi jibu langu ni namba 2 (Ujinga).Pia namba 3 (Ulimbukeni) nalo ni jibu zuri.

Mwanamke timamu na mwenye hofu ya Mungu kamwe hawezi kufanya uchafu wa namna hii.Iwe kwa kuiweka mtandaoni au hata kuihifadhi,Kwani ili iweje?.

Pia ni kutomlindia faragha kiumbe aliyeko tumboni.I believe in 100% kuwa aliyepigwa hiyo picha asingejisikia vyema kama angekuja gundua baadaye ukubwani kama Mama yake angeupiga ujauzito wake picha kama yeye alivyofanya.

Ninajisikia uchungu mno.Niishie hapa.
 
Back
Top Bottom