Hardlife
JF-Expert Member
- Apr 11, 2021
- 2,750
- 6,247
Wewe unayejua sababu ya Yanga kuondolewa mapema tueleze mbali na Kiwango duni.Na wewe Una lolote ni walewale waliokunywa uji wa mgonjwa akafariki, maneno ya kiongozi gani yalikuvimbisha wewe kichwa, auelewi ata sababu ya yanga kuondolewa mapema umebaki kuwa bendera fuata upepo tu, unadandia treni kwa mbele na sidhani Kama ni mwanayanga wewe, unajifanya mwanayanga kumbe ndo ile ile mikia ya paka