Kuna tetesi kuwa Mhe. Kagasheki hivi majuzi akiwa safarini toka jimboni kwake kwa ajiri ya uchaguzi aligonga na kuua mtu maeneo ya Nzeha. Watoa habari wanasema pia kuwa tayari I.G.P Mwema ameishaunda tume. Tunaomba wanahabari mfuatilie
..yani hatuna hata uungwana wa kutaka kujua victims wa hiyo ajali ni kina nani, and they have been taken care of!!
..tuko more interested na kujua hatima ya kisiasa ya Balozi Kagasheki.
..yani hatuna hata uungwana wa kutaka kujua victims wa hiyo ajali ni kina nani, and they have been taken care of!!
..tuko more interested na kujua hatima ya kisiasa ya Balozi Kagasheki.
ni bahati mbaya kwake kuua na hatujui chanzo cha ajali kwahiyo naona habari hii imekaa kiudanu zaidi na mtoa mada anasahau kwamba hata yeye akiwa anaendesha aweza hata kuua au kufa, kwani haya mvyuma si perfectKuna tetesi kuwa Mhe. Kagasheki hivi majuzi akiwa safarini toka jimboni kwake kwa ajiri ya uchaguzi aligonga na kuua mtu maeneo ya Nzeha. Watoa habari wanasema pia kuwa tayari I.G.P Mwema ameishaunda tume. Tunaomba wanahabari mfuatilie