Kuna wauminj humu wanajisifu kwamba ndio wasomi na wanawakebehi wengine hawakusoma shule, wamewekeza kwengine. Cha ajabu hao hao kila kukicha humu wanalalamika.
1. Kila siku tunalalamika haki za binaadam
2. Umaskini
3. Rushwa
4. Bara bara mbovu
5. Haki na usawa haupo
Haya yote yanasababishwa na wasomi. Na nyinyi ndio wasomi na watendaji wenyew.
Sasa kimesomwa nini?
1. Kila siku tunalalamika haki za binaadam
2. Umaskini
3. Rushwa
4. Bara bara mbovu
5. Haki na usawa haupo
Haya yote yanasababishwa na wasomi. Na nyinyi ndio wasomi na watendaji wenyew.
Sasa kimesomwa nini?