Godoro la kioo JF-Expert Member Joined Aug 2, 2025 Posts 364 Reaction score 735 Jan 5, 2026 #1 Kutoka kwenye jamhuri ya watu wa Facebook Baada ya Taifa stars kunyimwa penalti Hiki ndicho alichopost kwenye ukurasa Wake Dansa Queen Fraison maarufu Bonge la Dada
Kutoka kwenye jamhuri ya watu wa Facebook Baada ya Taifa stars kunyimwa penalti Hiki ndicho alichopost kwenye ukurasa Wake Dansa Queen Fraison maarufu Bonge la Dada
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,228 Reaction score 39,956 Jan 5, 2026 #3 Ndio nani huko Daslamu.
MOTOCHINI JF-Expert Member Joined Jan 20, 2014 Posts 29,085 Reaction score 35,398 Jan 5, 2026 #4 Kanajitambua kama kweli ni Acc yake Japo FB ni ya watoto
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 348,121 Reaction score 1,249,300 Jan 5, 2026 #5 Sawa sawa
Fbn JF-Expert Member Joined Jul 31, 2016 Posts 14,136 Reaction score 33,544 Jan 5, 2026 #6 chawa wa CCM kutoka Venezuela wanao mtetea maduro na samuya wanavyokuanglia sasa
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 44,123 Reaction score 104,667 Jan 5, 2026 #7 MOTOCHINI said: Japo FB ni ya watoto Click to expand... Wabongo bhana 😂
Kubwjing JF-Expert Member Joined Aug 2, 2025 Posts 1,878 Reaction score 2,875 Jan 5, 2026 #8 Akimaliza wiki salama bila kutekwa baas
BLACKTIGER JF-Expert Member Joined Dec 21, 2012 Posts 4,344 Reaction score 6,864 Jan 5, 2026 #10 Godoro la kioo said: Kutoka kwenye jamhuri ya watu wa Facebook Baada ya Taifa stars kunyimwa penalti Hiki ndicho alichopost kwenye ukurasa Wake Dansa Queen Fraison maarufu Bonge la Dada View attachment 3525753 Click to expand... Sijui sababu ya VPN Picha na video sizioni kabisa!
Godoro la kioo said: Kutoka kwenye jamhuri ya watu wa Facebook Baada ya Taifa stars kunyimwa penalti Hiki ndicho alichopost kwenye ukurasa Wake Dansa Queen Fraison maarufu Bonge la Dada View attachment 3525753 Click to expand... Sijui sababu ya VPN Picha na video sizioni kabisa!
A man from Island JF-Expert Member Joined Aug 13, 2020 Posts 445 Reaction score 936 Jan 5, 2026 #11 BLACKTIGER said: Sijui sababu ya VPN Picha na video sizioni kabisa! Click to expand... na wew ni kama mim, ila kwangu mm, ikitokea mtu kai quote post, bac picha na videos naziona
BLACKTIGER said: Sijui sababu ya VPN Picha na video sizioni kabisa! Click to expand... na wew ni kama mim, ila kwangu mm, ikitokea mtu kai quote post, bac picha na videos naziona
T The Anfield Senior Member Joined Dec 15, 2025 Posts 166 Reaction score 174 Jan 6, 2026 #12 Nyie msifieni tu asije nyakuliwa kama N.Maduro mkaishia tu kutoa matamko makali ya kulaani km China na Urusi.🤣🤣
Nyie msifieni tu asije nyakuliwa kama N.Maduro mkaishia tu kutoa matamko makali ya kulaani km China na Urusi.🤣🤣
Godoro la kioo JF-Expert Member Joined Aug 2, 2025 Posts 364 Reaction score 735 Jan 6, 2026 Thread starter #13 The Anfield said: Nyie msifieni tu asije nyakuliwa kama N.Maduro mkaishia tu kutoa matamko makali ya kulaani km China na Urusi.🤣🤣 Click to expand... Hicho mkuu ndo tunachohofia maana asije akaitwa mhaini
The Anfield said: Nyie msifieni tu asije nyakuliwa kama N.Maduro mkaishia tu kutoa matamko makali ya kulaani km China na Urusi.🤣🤣 Click to expand... Hicho mkuu ndo tunachohofia maana asije akaitwa mhaini
Godoro la kioo JF-Expert Member Joined Aug 2, 2025 Posts 364 Reaction score 735 Jan 6, 2026 Thread starter #14 Angel Nylon said: View attachment 3525774 Click to expand... Ngoja waje wamuite mhaini
Dr am 4 real PhD JF-Expert Member Joined Jun 30, 2016 Posts 18,373 Reaction score 37,194 Jan 6, 2026 #15 Godoro la kioo said: Kutoka kwenye jamhuri ya watu wa Facebook Baada ya Taifa stars kunyimwa penalti Hiki ndicho alichopost kwenye ukurasa Wake Dansa Queen Fraison maarufu Bonge la Dada View attachment 3525753 Click to expand... Akitekwa sisi tutasaidia kupaza sauti #free bonge la dada. Vipi mzee WANGU CLEMENCE MWANDAMBO amesha patikanaaa... (Nachoka mie mzee wenu CLEMENCE MWANDAMBO in MWANDAMBO VOICE)
Godoro la kioo said: Kutoka kwenye jamhuri ya watu wa Facebook Baada ya Taifa stars kunyimwa penalti Hiki ndicho alichopost kwenye ukurasa Wake Dansa Queen Fraison maarufu Bonge la Dada View attachment 3525753 Click to expand... Akitekwa sisi tutasaidia kupaza sauti #free bonge la dada. Vipi mzee WANGU CLEMENCE MWANDAMBO amesha patikanaaa... (Nachoka mie mzee wenu CLEMENCE MWANDAMBO in MWANDAMBO VOICE)
mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 45,751 Reaction score 55,790 Jan 6, 2026 #16 KARMA IS REAL
Godoro la kioo JF-Expert Member Joined Aug 2, 2025 Posts 364 Reaction score 735 Jan 6, 2026 Thread starter #17 BLACKTIGER said: Sijui sababu ya VPN Picha na video sizioni kabisa! Click to expand... Anachoongelea ni kwamba Refarri aliinyima Taifa stars penalt Ili kuepuka vurugu za waarabu Refarri alitanguliza amani kabla ya haki mwisho wa siku kaikandamiza Taifa stars Nadhan kidogo umepata mwanga wa kinachoongelewa
BLACKTIGER said: Sijui sababu ya VPN Picha na video sizioni kabisa! Click to expand... Anachoongelea ni kwamba Refarri aliinyima Taifa stars penalt Ili kuepuka vurugu za waarabu Refarri alitanguliza amani kabla ya haki mwisho wa siku kaikandamiza Taifa stars Nadhan kidogo umepata mwanga wa kinachoongelewa
BLACKTIGER JF-Expert Member Joined Dec 21, 2012 Posts 4,344 Reaction score 6,864 Jan 6, 2026 #18 A man from Island said: na wew ni kama mim, ila kwangu mm, ikitokea mtu kai quote post, bac picha na videos naziona Click to expand... Hata mimi ivo ivo inabidi wakati mwingine ni quote post kwa lazima sijui shida nini?
A man from Island said: na wew ni kama mim, ila kwangu mm, ikitokea mtu kai quote post, bac picha na videos naziona Click to expand... Hata mimi ivo ivo inabidi wakati mwingine ni quote post kwa lazima sijui shida nini?
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,228 Reaction score 39,956 Jan 6, 2026 #19 Fbn said: chawa wa CCM kutoka Venezuela wanao mtetea maduro na samuya wanavyokuanglia sasaView attachment 3525765 Click to expand... Toba!
Fbn said: chawa wa CCM kutoka Venezuela wanao mtetea maduro na samuya wanavyokuanglia sasaView attachment 3525765 Click to expand... Toba!
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 167,161 Reaction score 185,468 Jan 6, 2026 #20 Muda huongea... Cc: Mahondaw