Habari zenu wakuU
Hivi mnavitambua ivo vikundi apo juu nilivyovitaja?,ukukutana nao utaweza kuwatofautisha?
Ni hatari,hao ni wasichana wa uswahilini walioamua kujiita ivo
Ni wasichana ambao wanaweza kukuingiza dhambini kama haupo makini
Wanatabia mbaya mnooo unaweza kwenda nae shoo magetoni au gesti
Anaweza kukushawishi usitumie kondomu ukiwa zwazwa unamsikiliza,ukimkuta na ngoma inakula kwako
Unaweza sema uyu umri wake mdog hawezi kuwa na ukimwi mind you
Tabia ingine wanatabia ya kuhamisha njia baharia unapiga zako njia ya kawaida mara gafla anakulengeshea tigo ukiwa mzembe mwenye tama unajikuta unakula tigo
Wanajua shoo kupita maelezo pia wanapenda hela mnoo maana wanakuaga na sherehe kila siku so sare zinahitajika
Jamii yetu inakaribia kuisha kwa kuporomoka kabisa,