Amigo
Senior Member
- Mar 7, 2009
- 150
- 3
Wizi uko sehemu yeyote hata airport za nchi nyingine hua kuna wizi tu huyo mzungu kweli anaweza kua kaibiwa kweli ila jinsi alivyo eleza naona kaongezea sana na inaonekana hakufata taratibu za kufatilia hiyo mizigo aliyo checkin nayo Amsterdam.
Pia swala la rushwa pia nalo lipo hata sisi watanzania wenyewe tunaliona katika huduma za jamii.
Mabadiliko kweli yanahitajika sana ili kuweza kuondoa haya matatizo kwetu sisi na kwa wageni.
Pia swala la rushwa pia nalo lipo hata sisi watanzania wenyewe tunaliona katika huduma za jamii.
Mabadiliko kweli yanahitajika sana ili kuweza kuondoa haya matatizo kwetu sisi na kwa wageni.